Dreadnought JF-Expert Member Joined Mar 25, 2013 Posts 2,876 Reaction score 3,942 Nov 9, 2024 #21 Ndebile said: Magufuli alisingiziwa mengi, mbona hayupo sasa na bado wagombea wa upinzani wanapukutishwa? Hapa kijijini mgombea WA Chadema kapita ila zipo tetezi anajiandaa kujitoa dakika za mwisho, bila shaka katika dau lake! Click to expand... Anasingiziwa kivipi, legacy yake Bado inaishi kumbuka hizi mambo za kuenguliwa yeye ndo muasisi
Ndebile said: Magufuli alisingiziwa mengi, mbona hayupo sasa na bado wagombea wa upinzani wanapukutishwa? Hapa kijijini mgombea WA Chadema kapita ila zipo tetezi anajiandaa kujitoa dakika za mwisho, bila shaka katika dau lake! Click to expand... Anasingiziwa kivipi, legacy yake Bado inaishi kumbuka hizi mambo za kuenguliwa yeye ndo muasisi
I Izia maji JF-Expert Member Joined Dec 1, 2021 Posts 2,997 Reaction score 5,385 Nov 9, 2024 #22 Townchild said: Mboga hiyo ujuee. Click to expand... Asusa yule! Check hata jina lake!