CHADEMA tumeshindwa kujisimamia, hatuwezi kuikosoa CCM

CHADEMA tumeshindwa kujisimamia, hatuwezi kuikosoa CCM

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Tuna maamuzi ya ajabu ambayo yanaonyesha kuwa chama hakipo makini.

Jambo dogo tu utasikia michango ya kila aina. Na michango yenyewe haipitii akaunti ya chama.

Mbowe kaswekwa ndani, kila mtu anataka kuanzisha michango. Tena haipitii kwenye akaunti ya chama.

Hii dalili tosha kuwa chama hakijisimamii na wanachama wana maamuzi ya kujitakia wao.

Hii ni wazi hatuwezi kuikosoa CCM.
 
Tuna maamuzi ya ajabu ambayo yanaonyesha kuwa chama hakipo makini.

Jambo dogo tu utasikia michango ya kila aina. Na michango yenyewe haipitii akaunti ya chama.

Mbowe kaswekwa ndani, kila mtu anataka kuanzisha michango. Tena haipitii kwenye akaunti ya chama.

Hii dalili tosha kuwa chama hakijisimamii na wanachama wana maamuzi ya kujitakia wao.

Hii ni wazi hatuwezi kukuosoa Ccm.
 
CHADEMA haipiti account ya chama ila CCM wao wanapora hazina kabisa!
 
Back
Top Bottom