CHADEMA tumeshindwa kujisimamia, hatuwezi kuikosoa CCM

CHADEMA tumeshindwa kujisimamia, hatuwezi kuikosoa CCM

Tuna maamuzi ya ajabu ambayo yanaonyesha kuwa chama hakipo makini.

Jambo dogo tu utasikia michango ya kila aina. Na michango yenyewe haipitii akaunti ya chama.

Mbowe kaswekwa ndani, kila mtu anataka kuanzisha michango. Tena haipitii kwenye akaunti ya chama.

Hii dalili tosha kuwa chama hakijisimamii na wanachama wana maamuzi ya kujitakia wao.

Hii ni wazi hatuwezi kukuosoa Ccm.
Katika watu wa chadema wewe ndio mtu wa kwanza kuwa na akili ya kutafakari.
Wengine wanapelekwa tu hata kuhoji hawawezi wanaimbishwa nyimbo tu na kukaririsha "tunataka katiba mpya,tunataka katiba mpya"

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Sasa si utoke tu CHADEMA...?!Uache walio tayari kuchanga?
 
Huwezi kuwa ni mwanafamilia halafu kutwa kuibomoa familia. Toka nimeanza kukusoma kazi yako ni kumshambulia Mbowe na CHADEMA, hivyo kamwe huwezi kuwa mwanachadema.
ukiona hivyo ujue mwenzenu amemka kutoka utumwani,amefunguka.
Amechoka kufuata mkumbo kuingizwa barabarani kuandamana halafu viongozi wenu wanajifungia kwenye mahotel kulia bata michango yenu

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Tuna maamuzi ya ajabu ambayo yanaonyesha kuwa chama hakipo makini.

Jambo dogo tu utasikia michango ya kila aina. Na michango yenyewe haipitii akaunti ya chama.

Mbowe kaswekwa ndani, kila mtu anataka kuanzisha michango. Tena haipitii kwenye akaunti ya chama.

Hii dalili tosha kuwa chama hakijisimamii na wanachama wana maamuzi ya kujitakia wao.

Hii ni wazi hatuwezi kukuosoa Ccm.
Wewe ndiye umeshindwa kujisimamia ndiyo maana unaishi kwa matumaini ya kupata uteuzi huko CCM.
 
Kwa hiyo kuwa mwana CHADEMA hautakiwi kuwa na mawazo kinzani dhidi ya mwenyekiti.....??

Mawazo kidhani ni tofauti na kumshambulia kiongozi wako. Isitoshe kuna vikao mahali pa kupeleka maoni yako. Uwe mwanacdm halafu uumizwe na cdm kuipinga ccm, eti kisa una tofauti na mwenyekiti!?
 
Tuna maamuzi ya ajabu ambayo yanaonyesha kuwa chama hakipo makini.

Jambo dogo tu utasikia michango ya kila aina. Na michango yenyewe haipitii akaunti ya chama.

Mbowe kaswekwa ndani, kila mtu anataka kuanzisha michango. Tena haipitii kwenye akaunti ya chama.

Hii dalili tosha kuwa chama hakijisimamii na wanachama wana maamuzi ya kujitakia wao.

Hii ni wazi hatuwezi kukuosoa Ccm.
Tumekusikia pro CCM
 
Mawazo kidhani ni tofauti na kumshambulia kiongozi wako. Isitoshe kuna vikao mahali pa kupeleka maoni yako. Uwe mwanacdm halafu uumizwe na cdm kuipinga ccm, eti kisa una tofauti na mwenyekiti!?
Ili kuwa na legiticimacy kuibana Ccm lazima tujikosoe na kubadilika kuondoa mapungufu yetu. sawa Kamanda?
 
Back
Top Bottom