Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Hujitambui we jamaa.Naona huu mchezo wenu wa kuigiza kuwa ni wanacdm huku jukwaani, mmehamishia mpaka kwenye TV na kuvaa tshirt za katiba mpya halafu mnaipinga!
Hujitambui we jamaa.
Umetumia kigezo kipi kujiridhisha kuwa huyu sio mwana CHADEMA......??Naona huu mchezo wenu wa kuigiza kuwa ni wanacdm huku jukwaani, mmehamishia mpaka kwenye TV na kuvaa tshirt za katiba mpya halafu mnaipinga!
Umetumia kigezo kipi kujiridhisha kuwa huyu sio mwana CHADEMA......??
CCM ilishajifia sasa hivi imebakiwa na warembuaji wanaoitwa waenezi.Naona huu mchezo wenu wa kuigiza kuwa ni wanacdm huku jukwaani, mmehamishia mpaka kwenye TV na kuvaa tshirt za katiba mpya halafu mnaipinga!
Nasisitiza dogo hujitambui. Unanijua kivipi?Namjua ndani nje.
Tuna maamuzi ya ajabu ambayo yanaonyesha kuwa chama hakipo makini.
Jambo dogo tu utasikia michango ya kila aina. Na michango yenyewe haipitii akaunti ya chama.
Mbowe kaswekwa ndani, kila mtu anataka kuanzisha michango. Tena haipitii kwenye akaunti ya chama.
Hii dalili tosha kuwa chama hakijisimamii na wanachama wana maamuzi ya kujitakia wao.
Hii ni wazi hatuwezi kukuosoa Ccm.
Wewe unaleta mipasho ya kishamba.CCM ilishajifia sasa hivi imebakiwa na warembuaji wanaoitwa waenezi.
CCM ilishajifia sasa hivi imebakiwa na warembuaji wanaoitwa waenezi.
Nakujua kuwa ni mrembo tu wa ccm unayefuata mkumbo.Nasisitiza dogo hujitambui. Unanijua kivipi?
Hona hoja za kimantiki.CHADEMA haipiti account ya chama ila CCM wao wanapora hazina kabisa!
Nakujua umeshapanick kamanda mwenzangu.Nakujua kuwa ni mrembo tu wa ccm unayefuata mkumbo.
Haya majamaa ni malofa kupindukiaNaona huu mchezo wenu wa kuigiza kuwa ni wanacdm huku jukwaani, mmehamishia mpaka kwenye TV na kuvaa tshirt za katiba mpya halafu mnaipinga!
Mbona umekuwa mkali,akikujua uunataka akuchambueNasisitiza dogo hujitambui. Unanijua kivipi?