CHADEMA tumetoka mbali sana

CHADEMA tumetoka mbali sana

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Hakika hakuna marefu yasiyo na ncha.

WanaCHADEMA tumefanyiwa vitimbi vingi sana ukiwemo kunyanyaswa.

Tazameni na msikilize tunapigwa marufuku kuingia majumbani mwetu dsm na wenye mamlaka.

Nimeamini hakuna anaye ijua kesho yake.

 
Back
Top Bottom