Uchaguzi 2020 CHADEMA tumewakosea nini watu wa Muheza?

Uchaguzi 2020 CHADEMA tumewakosea nini watu wa Muheza?

Naomba kutoa tahadhari kwamba Countrywide ni mfano halisi ya nzi wa kijani waliofyatuliwa kwenye mikesha ya mwenge na kuandaliwa kwa shughuli moja tu la kulitetea dampo ambalo pamoja na kuoza limeng'ang'ania uongozi wa taifa hili hata kama halina uwezo.

Njia mojawapo wanayotumia hawa nzi ni kuvamia JF na kuhakikisha linageuka na kuwa dampo ambalo kwa nzi ni makao ya kudumu. Ukihesabu michango yake huyu nzi, utagundua anavyorukaruka kama vile kapotea kwa sababu nzi na dampo ni kama pete na kidole.

Hata hivyo dawa ya nzi ni ndogo sana nayo ni kuhakikisha kwamba kwenye dampo taka zote zinatiwa kiberiti. Ukitaka kujua kwamba Countrywide ni nzi cheki tu kumbukumbu zake anavyotua hovyo popote bila kuangalia katua wapi mpaka anasahau hii ni JF, kwenye moto!

Kwa staili hii naona Countrywide akizidi kuchanganyikiwa na msije mkashangaa akikiri mchana kweupe alipo na huko si kwingine bali kwenye dampo hasa! Ni wapi huko? Hilo nawaachieni lakini ukweli ni kwamba ni rahisi sana kupang'amua kwa harufu yake...dampo ni dampo tu...
 
HIZO
People'ssss powerrrr......!

Habari za jioni ndugu zangu wana JF, leo nijikite na kilichotokea Muheza.

Tunakumbuka vizuri sana kuwa mgombea wetu wa ubunge jimbo la Muheza awali alienguliwa na tume ya uchaguzi lakini siku mbili zilizopita tume walirudisha jina lake.

Mwanadada Yosepher Komba, aliahidi kupambana kufa na kupona ili watu wa Muheza waweze kupata mabadiliko wanayohitaji. Na kukaibuka kundi flani mtandaoni wakijinasibu kutumia kila aina ya ushawishi na nguvu ili mwanadada huyu aweze kushinda(ni jambo zuri).

Cha kushangaza ni siku ya leo ambapo Salum Mwalimu alipoenda kufungua kampeni kakutana na uwanja mtupu (watu ni wachache sana).

Ni jambo ambalo sisi kama wanachama na mashabiki wa CHADEMA limetufedhehesha sana, ni kitu hatukutegemea na tumebaki tunajiuliza "tumeikosea nini Muheza"??

Lakini ninaomba tuvute subra, tumtie nguvu mgombea ubunge ili aweze kuwa na hoja na mvuto kwa wapiga kura.

Mimi na-declare interest kuwa ni shabiki wa CHADEMA na hivyo nafuatilia kwa makini kwa kila kinachoendelea kuhusu kampeni za chama chetu. Ila leo cha kushangaza kwenye account ya CHADEMA Tanzania walikuwa wanapost nusu picha(picha imekatwa haionyeshi hadhira) hapohapo machale yakanicheza na kuona kuna tatizo huko kwenye kampeni, fasta nikaongea na mtu aliyepo huko anitumie picha za mkutanoni, nilichokiona ni aibu.

Chini hapa ni hali ilivyokuwa kwenye kampeni Muheza. View attachment 1566499
HIZO NI PICHA ZA ALFAJIRI WEWE, SUBIRI ZA SAA TANO USIKU.
 
Hakuna ajabu apo.. Tanga kunaeleweka ...2015 Mzee Lowasa alijaza mafuriko mpaka wengine kuzimia..... Lakini walichomfanyia ,...walimpiga mswaki Kura za urais mpaka wabunge.....hapana Chezea Tanga.
 
Kosa la uteuzi huyo mgombea mwenza kweli awe makamo wa raisi wa Jamhuri ya muungano kweli?
 
Jana mmesema Chadema kujaza watu sio ndo kuchaguliwa, leo....?
 
People'ssss powerrrr......!

Habari za jioni ndugu zangu wana JF, leo nijikite na kilichotokea Muheza.

Tunakumbuka vizuri sana kuwa mgombea wetu wa ubunge jimbo la Muheza awali alienguliwa na tume ya uchaguzi lakini siku mbili zilizopita tume walirudisha jina lake.

Mwanadada Yosepher Komba, aliahidi kupambana kufa na kupona ili watu wa Muheza waweze kupata mabadiliko wanayohitaji. Na kukaibuka kundi flani mtandaoni wakijinasibu kutumia kila aina ya ushawishi na nguvu ili mwanadada huyu aweze kushinda(ni jambo zuri).

Cha kushangaza ni siku ya leo ambapo Salum Mwalimu alipoenda kufungua kampeni kakutana na uwanja mtupu (watu ni wachache sana).

Ni jambo ambalo sisi kama wanachama na mashabiki wa CHADEMA limetufedhehesha sana, ni kitu hatukutegemea na tumebaki tunajiuliza "tumeikosea nini Muheza"??

Lakini ninaomba tuvute subra, tumtie nguvu mgombea ubunge ili aweze kuwa na hoja na mvuto kwa wapiga kura.

Mimi na-declare interest kuwa ni shabiki wa CHADEMA na hivyo nafuatilia kwa makini kwa kila kinachoendelea kuhusu kampeni za chama chetu. Ila leo cha kushangaza kwenye account ya CHADEMA Tanzania walikuwa wanapost nusu picha(picha imekatwa haionyeshi hadhira) hapohapo machale yakanicheza na kuona kuna tatizo huko kwenye kampeni, fasta nikaongea na mtu aliyepo huko anitumie picha za mkutanoni, nilichokiona ni aibu.

Chini hapa ni hali ilivyokuwa kwenye kampeni Muheza. View attachment 1566499
Hiyo ndiyo hali halisi ya CHADEMA sehemu nyingi ambako watu wanajua ukweli wa kazi na mazuri waliyofanyiwa na CCM. Halafu Watanzania waishio nje ya miji ni WAKWELI SANA hawana ushabiki wa uongo wala ubabaishaji.
 
watu walikuwa wengi hakukuwa hata na sehemu ya kutema mate.
 
Mjinga ni huyo wa kutoka burigi.
Hivi mama yako bado kalio lake halifubaa? Ningependa kumtatua marinda 🤣 🤣
Sikudharau Kwa sababu ya ubinadamu wako, kama alivyo binadamu mwingine, nakudharau kwa sababu ya kushindwa kuuheshimu ubinadamu wako

Jibidiishe kuuheshimu ubinadamu ulonao ili usiendelee kudharaulika kiasi cha kuonekana wewe ni mbwa waksti wewe ni binadamu!

Tafadhari zingatia Hilo mkuu
 
Subiri namtafuta Kamanda Makene ndiyo anazo picha zote! Ataziweka tu kwa maslahi ya CHADEMA na Salum.
 
Back
Top Bottom