Uchaguzi 2020 CHADEMA tumewakosea nini watu wa Muheza?

Naomba kutoa tahadhari kwamba Countrywide ni mfano halisi ya nzi wa kijani waliofyatuliwa kwenye mikesha ya mwenge na kuandaliwa kwa shughuli moja tu la kulitetea dampo ambalo pamoja na kuoza limeng'ang'ania uongozi wa taifa hili hata kama halina uwezo.

Njia mojawapo wanayotumia hawa nzi ni kuvamia JF na kuhakikisha linageuka na kuwa dampo ambalo kwa nzi ni makao ya kudumu. Ukihesabu michango yake huyu nzi, utagundua anavyorukaruka kama vile kapotea kwa sababu nzi na dampo ni kama pete na kidole.

Hata hivyo dawa ya nzi ni ndogo sana nayo ni kuhakikisha kwamba kwenye dampo taka zote zinatiwa kiberiti. Ukitaka kujua kwamba Countrywide ni nzi cheki tu kumbukumbu zake anavyotua hovyo popote bila kuangalia katua wapi mpaka anasahau hii ni JF, kwenye moto!

Kwa staili hii naona Countrywide akizidi kuchanganyikiwa na msije mkashangaa akikiri mchana kweupe alipo na huko si kwingine bali kwenye dampo hasa! Ni wapi huko? Hilo nawaachieni lakini ukweli ni kwamba ni rahisi sana kupang'amua kwa harufu yake...dampo ni dampo tu...
 
HIZO HIZO NI PICHA ZA ALFAJIRI WEWE, SUBIRI ZA SAA TANO USIKU.
 
Hakuna ajabu apo.. Tanga kunaeleweka ...2015 Mzee Lowasa alijaza mafuriko mpaka wengine kuzimia..... Lakini walichomfanyia ,...walimpiga mswaki Kura za urais mpaka wabunge.....hapana Chezea Tanga.
 
Kosa la uteuzi huyo mgombea mwenza kweli awe makamo wa raisi wa Jamhuri ya muungano kweli?
 
Jana mmesema Chadema kujaza watu sio ndo kuchaguliwa, leo....?
 
Hiyo ndiyo hali halisi ya CHADEMA sehemu nyingi ambako watu wanajua ukweli wa kazi na mazuri waliyofanyiwa na CCM. Halafu Watanzania waishio nje ya miji ni WAKWELI SANA hawana ushabiki wa uongo wala ubabaishaji.
 
watu walikuwa wengi hakukuwa hata na sehemu ya kutema mate.
 
Mjinga ni huyo wa kutoka burigi.
Hivi mama yako bado kalio lake halifubaa? Ningependa kumtatua marinda 🤣 🤣
Sikudharau Kwa sababu ya ubinadamu wako, kama alivyo binadamu mwingine, nakudharau kwa sababu ya kushindwa kuuheshimu ubinadamu wako

Jibidiishe kuuheshimu ubinadamu ulonao ili usiendelee kudharaulika kiasi cha kuonekana wewe ni mbwa waksti wewe ni binadamu!

Tafadhari zingatia Hilo mkuu
 
Subiri namtafuta Kamanda Makene ndiyo anazo picha zote! Ataziweka tu kwa maslahi ya CHADEMA na Salum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…