Uchaguzi 2020 CHADEMA tunahitaji wapiga kura wengi zaidi, ila kuna hawa wengine inabidi kuwakataa

Uchaguzi 2020 CHADEMA tunahitaji wapiga kura wengi zaidi, ila kuna hawa wengine inabidi kuwakataa

Kamati ya maadili hawaoni haya ???
Yaani kampeni za CCM zimejaa uchafu mtupu.
tapatalk_1588320087141.jpg
FB_IMG_1599287479466.jpg
tapatalk_1571928346669.jpg
tapatalk_1571843276540.jpg
 
Ha haa, nimecheka tu.
Ila kila mtanzania ana haki ya kupiga Kura na kuelezea Hisia zake.

Waache wapiganie Uhuru wao. Kama jamii tutaukataa na Kama katiba ya Sasa inaturuhusu sawa.

Vinginevyo tuwaacheni tu jamani.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hawa hatutaki kura zao
 
Usuziri chadema ina wanachama wanao jitambua wasomi na wenye akili za kuzaliwa hatu Danganyiki ata Bashite naye angevaa gauni akasema atapigia chadema kura tutamuelewa nia yake hawezi badilisha mawazo yetu nadhani iyo mnalijuwa mmenunuwa wagombea tukawambia mchukuweni na Mbowe ila CCM kwetu ni mzoga unao Nuka
 
Usuziri chadema ina wanachama wanao jitambua wasomi na wenye akili za kuzaliwa hatu Danganyiki ata Bashite naye angevaa gauni akasema atapigia chadema kura tutamuelewa nia yake hawezi badilisha mawazo yetu nadhani iyo mnalijuwa mmenunuwa wagombea tukawambia mchukuweni na Mbowe ila CCM kwetu ni mzoga unao Nuka
Hawa wapoga kura ni kuwakataa
 
Habari wanajf, leo nipo hapa kuzungumzia baadhi ya wapiga kura wetu. Ni kweli ili tushinde uchaguzi tunahitaji wapiga kura wengi sana sana ila kuna baadhi inatubidi kuwakataa.

Kwa nini tuwakubali watu ambao hawaeleweki? Chama kitaundwa na kuwa supported na watu wanaojielewa, sio kila mtu anakurupuka anajifanya ni mwanachadema au upinzani.

Wapiga kura hawa wanaoonekana kwenye video wanaweza kutumika kutunyima kura zaidi kutoka kwa watu wengine huko, hivyo watu wa aina hii HAPANA.

Chini nimeweka picha na video ya watu ambao wanasema nao watapigia kura chadema, ila tusiwakubali na ikibidi tuwapige marufuku kuleta mazoea kwenye chama.

Made in Lumumba. Wakiwajibu msianze kulalamika kwa Mutungi na maela. CCM siasa za jukwaani zishawashinda.
 
Habari wanajf, leo nipo hapa kuzungumzia baadhi ya wapiga kura wetu. Ni kweli ili tushinde uchaguzi tunahitaji wapiga kura wengi sana sana ila kuna baadhi inatubidi kuwakataa.

Kwa nini tuwakubali watu ambao hawaeleweki? Chama kitaundwa na kuwa supported na watu wanaojielewa, sio kila mtu anakurupuka anajifanya ni mwanachadema au upinzani.

Wapiga kura hawa wanaoonekana kwenye video wanaweza kutumika kutunyima kura zaidi kutoka kwa watu wengine huko, hivyo watu wa aina hii HAPANA.

Chini nimeweka picha na video ya watu ambao wanasema nao watapigia kura chadema, ila tusiwakubali na ikibidi tuwapige marufuku kuleta mazoea kwenye chama.

Hawa ni watu waliokusanywa kabisa wakavalishwa nguo ili kuipa nguvu dhana ya ushoga aisee mbona nguvu kubwa inatumika kufanya haya???
 
Back
Top Bottom