SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Yaani kampeni za CCM zimejaa uchafu mtupu.Kamati ya maadili hawaoni haya ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kampeni za CCM zimejaa uchafu mtupu.Kamati ya maadili hawaoni haya ???
Umesomea ujinga wapi?Nilikasirika Sana lakini kutokana na Jibu hili nimegundua wewe ni CCM
Wallah iliobaki kidogo nisipige kura
Njia ya mwongo ni fupi
Hawa hatutaki kura zaoHa haa, nimecheka tu.
Ila kila mtanzania ana haki ya kupiga Kura na kuelezea Hisia zake.
Waache wapiganie Uhuru wao. Kama jamii tutaukataa na Kama katiba ya Sasa inaturuhusu sawa.
Vinginevyo tuwaacheni tu jamani.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hatutaki kura zaoKwahio hamuwatetei tena
well answered!Engineer mimi,sina njaa kama wew!
Hawa wapoga kura ni kuwakataaUsuziri chadema ina wanachama wanao jitambua wasomi na wenye akili za kuzaliwa hatu Danganyiki ata Bashite naye angevaa gauni akasema atapigia chadema kura tutamuelewa nia yake hawezi badilisha mawazo yetu nadhani iyo mnalijuwa mmenunuwa wagombea tukawambia mchukuweni na Mbowe ila CCM kwetu ni mzoga unao Nuka
Hao niwajinga na wana chama wa ccmHawa wapoga kura ni kuwakataa
Made in Lumumba. Wakiwajibu msianze kulalamika kwa Mutungi na maela. CCM siasa za jukwaani zishawashinda.Habari wanajf, leo nipo hapa kuzungumzia baadhi ya wapiga kura wetu. Ni kweli ili tushinde uchaguzi tunahitaji wapiga kura wengi sana sana ila kuna baadhi inatubidi kuwakataa.
Kwa nini tuwakubali watu ambao hawaeleweki? Chama kitaundwa na kuwa supported na watu wanaojielewa, sio kila mtu anakurupuka anajifanya ni mwanachadema au upinzani.
Wapiga kura hawa wanaoonekana kwenye video wanaweza kutumika kutunyima kura zaidi kutoka kwa watu wengine huko, hivyo watu wa aina hii HAPANA.
Chini nimeweka picha na video ya watu ambao wanasema nao watapigia kura chadema, ila tusiwakubali na ikibidi tuwapige marufuku kuleta mazoea kwenye chama.
Yaani kampeni za CCM zimejaa uchafu mtupu.View attachment 1586883View attachment 1586885View attachment 1586886View attachment 1586887
Hawa hatuwahitajiAma kweli ndege wafananao mbawa.
MAGUFULI4LIFE.
Hawa ni watu waliokusanywa kabisa wakavalishwa nguo ili kuipa nguvu dhana ya ushoga aisee mbona nguvu kubwa inatumika kufanya haya???Habari wanajf, leo nipo hapa kuzungumzia baadhi ya wapiga kura wetu. Ni kweli ili tushinde uchaguzi tunahitaji wapiga kura wengi sana sana ila kuna baadhi inatubidi kuwakataa.
Kwa nini tuwakubali watu ambao hawaeleweki? Chama kitaundwa na kuwa supported na watu wanaojielewa, sio kila mtu anakurupuka anajifanya ni mwanachadema au upinzani.
Wapiga kura hawa wanaoonekana kwenye video wanaweza kutumika kutunyima kura zaidi kutoka kwa watu wengine huko, hivyo watu wa aina hii HAPANA.
Chini nimeweka picha na video ya watu ambao wanasema nao watapigia kura chadema, ila tusiwakubali na ikibidi tuwapige marufuku kuleta mazoea kwenye chama.