Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
we ccm fc tunakujua tu.Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Benson Kigaila leo Nov 30,2021 akiwa Jimbo la Bukoba Vijijini Mkoani Kagera akiendelea na ziara ya uhamasishaji wanachadema kujisajili na kupata kadi za kidigitali kupitia mfumo wa Chadema Digital katika Mikoa ya Kanda ya Victoria. https://t.co/5azPqqJ4fl
View attachment 2028608
a. k.a chawamkongweChadema kinawapandisha presha ππ
Ila hawa makamanda wengi kwenye picha kama wana usingizi Vile maana wamepiga mboji.Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Benson Kigaila leo Nov 30,2021 akiwa Jimbo la Bukoba Vijijini Mkoani Kagera akiendelea na ziara ya uhamasishaji wanachadema kujisajili na kupata kadi za kidigitali kupitia mfumo wa Chadema Digital katika Mikoa ya Kanda ya Victoria.
Macho yako tu.Ila hawa makamanda wengi kwenye picha kama wana usingizi Vile maana wamepiga mboji.