CHADEMA: Tundu Lissu kurejea nchini na atafanya mikutano nchi nzima, wanachama waombwa kuchangia chama!

kama serikali yenye bahari,maziwa,misitu,madini,gesi, maeneo ya utalii na ardhi yenye rutuba inayostawisha kila mmea na watu inao nabado inaombaomba ni miaka zaidi ya60 ccm ikipewa ridhaa yakuiongoza nchi watu wake bado nimasikini wakutupwa kuna ubaya gani chadema ikitumia rasilimali watu na ndio kitu pekee walichonacho?
 
Zege halilali
 
Si wanachama tu, CDM imewaomba watanzania wote wanaotaka HAKI, UHURU na USAWA basi wajitokeze kuunganisha mnyonyoro ..kuelekea kwenye Tanzania wanayoihitaji.

Mwitikio si wa kawaida by the way, naona mtaa wa saba hawana furaha kabisa kwenye hili.
Wapenda amani uhuru na maendeleo wooote wanakaribishwa
 
Akikamatwa msijetafuta visingizio vya kutishiwa uhai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…