Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #21
Tuache mahakama itende kazi yake.Mbowe lazima akae jela .usha pangwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache mahakama itende kazi yake.Mbowe lazima akae jela .usha pangwa
Swadakta,kila alilotenda na wafuasi wake yanafikia mwishoHii inathibitisha kuwa Mbowe alifaniliwa sana kupenyeza matendo ya uovu na kihalifu kwa wafuasi wake ktk kipindi chake chote akiwa Mwenyekiti wa Chadema.
Tabia za wanachadema zinazo onekana leo hii kama vile; Uhalifu, Ujambazi, Uzaji wa madawa ya kulevya, Kupanga njama za kuuwa watu, kupanga njama za kutenda uhalifu, kujiteka, kuzua taharuki ktk jamii, kueneza uvumi ktk mitandao n.k zote hizo zilikuwa jitihada za Mwenyekiti wao.
Gaidi lilitokea CCM😁😁😁Hii inathibitisha kuwa Mbowe alifaniliwa sana kupenyeza matendo ya uovu na kihalifu kwa wafuasi wake ktk kipindi chake chote akiwa Mwenyekiti wa Chadema.
Tabia za wanachadema zinazo onekana leo hii kama vile; Uhalifu, Ujambazi, Uzaji wa madawa ya kulevya, Kupanga njama za kuuwa watu, kupanga njama za kutenda uhalifu, kujiteka, kuzua taharuki ktk jamii, kueneza uvumi ktk mitandao n.k zote hizo zilikuwa jitihada za Mwenyekiti wao.
Huyu mchambuzi ni kada maarufu sana na role model wa wafuasi wa Chadema.
Hayuko Kibatala peke yake. Inawezekana ikawa ni strategy ili baadae waje wahoji uhalali wa ugaidi kuwekwa pamoja na makosa ya kiuchumi. Kabla ya kucheza mpira unasafisha kwanza kiwanja.Kibatala sio mgeni wa kesi sampuli hiyo,ila nawakumbuka Tenga na Lamwai mwaka 1995 wakiwakilisha NCCR-MAGEUZI,walijitia kushindwa na hoja za wanafunzi wao katika uchaguzi mkuu Mangi Mrema akichuana na Mkapa,sasa naona yale yale yanajirudia.
Mimi niwe muwazi kuna tatizo hapo,wapo watu wanaaminika kwa mazoea lakini already compromised.
Sheria ni technics kama mathematics!!.. ukiangalia jinsi hii case inavyoenda ni tayari upande wa mashtaka umekosa dhamira ya dhati ya kushinda ndio maana wamemwachia judge!!..ni mtu wa ajabu tu na ambae haelewi jinsi serikali ilivyoshikwa kwenye sheria!!..wametunga sheria lakini wanashindwa kuzitumia!!.. wanashindwa kufundisha wananchi wajue sheria hata waisaidie mahakamani!!!Paragraph 24 ya Act no 3 2016 makosa yote ya ugaidi yanachukuliwa kama economic offences. Ndio maana mahakama ya kuu divison ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi ina mamlaka ya kusikiliza makosa ya ugaidi.
Kibatala alikurupuka kuweka pingamizi ambazo hazina mashiko ya kisheria kudai kuwa division ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi haina mamlaka.
Kueneza maneno kuwa Jaji Luvanda ni mwamuzi wa kimkakati ili kufanya kazi maalumu sio jambo jema na sio ustaarabu. Maana kila kitu kipo wazi kisheria.
Tuache mahakama itende haki.
Makamanda wenzangu wanapenda sana ubabe.Nyie Chadema mnapenda sana ubabe, hata sijui kwa nini.
Siku wakidai haki tokea msituni nadhani ndoo utakuwa mwisho wetu, tuache siasa za uhasama na double standard. Tuheshimiane licha ya tofauti zetu. Sis site ni watanzania, taifa Ni letu sote tulijenge kwa kujadiliana kwa hoja pasi kuoneana. Mabadiliko ya kikatiba hayakwepeki kwa kua kila Mara tunafanya mabadiliko ya Sheria zetu, hio Ni kiashiria kwamba hata katiba yetu imepitwa na wakati.Hii inathibitisha kuwa Mbowe alifanikiwa sana kupenyeza matendo ya uovu na kihalifu kwa wafuasi wake ktk kipindi chake chote akiwa Mwenyekiti wa Chadema.
Tabia za wanachadema zinazo onekana leo hii kama vile; Uhalifu, Ujambazi, Uzaji wa madawa ya kulevya, Kupanga njama za kuuwa watu, kupanga njama za kutenda uhalifu, kujiteka, kuzua taharuki ktk jamii, kueneza uvumi ktk mitandao n.k zote hizo zilikuwa jitihada za Mwenyekiti wao.
Mhu! Namna yako ya kusoma sheria inatia shaka. Kifungu ulichokitaja na kifungu kidogo kinachofuatia haviongelei 'economic offences'. Section 24(1) 'Every person who conspires with another person in the United Republic to do any act in any place outside the United Republic, being an act, which if done in the United Republic, would have constituted an offence under this Act shall be deemed to have, conspired to do that act, in the United Republic. (2) Every person who conspires with another person in a place whether within or outside the United Republic to do any act in the United Republic which constitutes an offence under this Act, shall be deemed to have conspired in the United Republic to do that act.'Paragraph 24 ya Act no 3 2016 makosa yote ya ugaidi yanachukuliwa kama economic offences. Ndio maana mahakama ya kuu divison ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi ina mamlaka ya kusikiliza makosa ya ugaidi.
Kibatala alikurupuka kuweka pingamizi ambazo hazina mashiko ya kisheria kudai kuwa division ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi haina mamlaka.
Kueneza maneno kuwa Jaji Luvanda ni mwamuzi wa kimkakati ili kufanya kazi maalumu sio jambo jema na sio ustaarabu. Maana kila kitu kipo wazi kisheria.
Tuache mahakama itende haki.
Sijazungumzia section 24. Nazungumzia paragraph 24 ya Act no 3 2016Mhu! Namna yako ya kusoma sheria inatia shaka. Kifungu ulichokitaja na kifungu kidogo kinachofuatia haviongelei 'economic offences'. Section 24(1) 'Every person who conspires with another person in the United Republic to do any act in any place outside the United Republic, being an act, which if done in the United Republic, would have constituted an offence under this Act shall be deemed to have, conspired to do that act, in the United Republic. (2) Every person who conspires with another person in a place whether within or outside the United Republic to do any act in the United Republic which constitutes an offence under this Act, shall be deemed to have conspired in the United Republic to do that act.'
Mpinzani sio kupinga hovyo.Wewe ni pandikizi la CCM.
Ndio maana hata hoja zako zinafanana na akina Gwajima.
NB:Tunakupuuza.
Wewe ni pandikizi la CCM.
Ndio maana hata hoja zako zinafanana na akina Gwajima.
NB:Tunakupuuza.
Umempa ukweliWewe ndo mpuuzi. Unaingiza uchama kwenye Point. Leta hoja. Au kwako hoja hata ya kijinga. Ukisema Mbowe kaonewa. Then mwandishi akisema ameota. Wewe utweka na NB. Hoja nzito. Genius.
Wewe ni mccm mbona unawashwa sana na mambo ya Chadema?Mpinzani sio kupinga hovyo.
Hivi mnajua hoja ambayo iko mahakamani kwa sasa au mnatumia makamasi kufikiri???Siamini kama utaeleweka pamoja na maelezo makini
Hivi mnajua hoja ambayo iko mahakamani kwa sasa au mnatumia makamasi kufikiri???Siamini kama utaeleweka pamoja na maelezo makini