CHADEMA tusimpe vitisho Jaji Luvanda, mpaka sasa hajapendelea pande yoyote. Kibatala na jopo lake walichemka

CHADEMA tusimpe vitisho Jaji Luvanda, mpaka sasa hajapendelea pande yoyote. Kibatala na jopo lake walichemka

Paragraph 24 ya Act no 3 2016 makosa yote ya ugaidi yanachukuliwa kama economic offences. Ndio maana mahakama ya kuu divison ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi ina mamlaka ya kusikiliza makosa ya ugaidi.

Kibatala alikurupuka kuweka pingamizi ambazo hazina mashiko ya kisheria kudai kuwa division ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi haina mamlaka.

Kueneza maneno kuwa Jaji Luvanda ni mwamuzi wa kimkakati ili kufanya kazi maalumu sio jambo jema na sio ustaarabu. Maana kila kitu kipo wazi kisheria.

Tuache mahakama itende haki.
Sasa wewe umekua Luvanda au kanjanja maana maamuzi yalishatolewa wewe ndo unaleta huku kujua
 
Ungejenga hoja,acha porojo na povu
Mainathibitisha kuwa Mbowe alifaniliwa sana kupenyeza matendo ya uovu na kihalifu kwa wafuasi wake ktk kipindi chake chote akiwa Mwenyekiti wa Chadema.

Naona mapunga mmeanzisha mada mnajijibu wenyewe, na mabasha tuko tunawaangalia tu. Tutafuteni kesho tuwapatie cha asubuhi hata kama kimoja hakitatosha.
 
Hii inathibitisha kuwa Mbowe alifanikiwa sana kupenyeza matendo ya uovu na kihalifu kwa wafuasi wake ktk kipindi chake chote akiwa Mwenyekiti wa Chadema.
Tabia za wanachadema zinazo onekana leo hii kama vile; Uhalifu, Ujambazi, Uzaji wa madawa ya kulevya, Kupanga njama za kuuwa watu, kupanga njama za kutenda uhalifu, kujiteka, kuzua taharuki ktk jamii, kueneza uvumi ktk mitandao n.k zote hizo zilikuwa jitihada za Mwenyekiti wao.
Hamza alipenyezewa na Mwenyekiti wa CCM Taifa?
 
Paragraph 24 ya Act no 3 2016 makosa yote ya ugaidi yanachukuliwa kama economic offences. Ndio maana mahakama ya kuu divison ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi ina mamlaka ya kusikiliza makosa ya ugaidi.

Kibatala alikurupuka kuweka pingamizi ambazo hazina mashiko ya kisheria kudai kuwa division ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi haina mamlaka.

Kueneza maneno kuwa Jaji Luvanda ni mwamuzi wa kimkakati ili kufanya kazi maalumu sio jambo jema na sio ustaarabu. Maana kila kitu kipo wazi kisheria.

Tuache mahakama itende haki.
Una roho mbaya Santa!Utakufa mapema
 
wamemwita jaji wa kesi za kimkakati- CHADEMA wanatabia ya Ku- personalize mambo na hivyo ndivyo vitisho
Kwa sasa wanacho kifanya Wafuasi wa Mbowe na Viongozi ni kuishinikiza Mahakama ili iamue kesi ya Mbowe kwa Matakwa yao.
kwa wao wafuasi wa Mbowe wanacho kijua ni kuwa haki ni; Mbowe akiachiwa Huru ila akifungwa wao wataona kaonewa!!
Chonde chonde Mahakama kamwe zisiyumbushwe na hawa wahuni wa Chadema ambao lengo lao ni kuichafua nchi na vyombo vyake.
Lengo la Chadema ni kuchafua nchi na vyombo vyote;
wanalichafua Jeshi la Polisi, DPP, na sasa Mahakama, tusipo washughulikia hawa wahuni watatukojolea kichwani.
Amani na Heshima yetu lazima ilindwe kwa gharama yoyote ile.
 
Wewe ni Chadema tangu lini?
 
Kwa sasa wanacho kifanya Wafuasi wa Mbowe na Viongozi ni kuishinikiza Mahakama ili iamue kesi ya Mbowe kwa Matakwa yao.
kwa wao wafuasi wa Mbowe wanacho kijua ni kuwa haki ni; Mbowe akiachiwa Huru ila akifungwa wao wataona kaonewa!!
Chonde chonde Mahakama kamwe zisiyumbushwe na hawa wahuni wa Chadema ambao lengo lao ni kuichafua nchi na vyombo vyake.
Lengo la Chadema ni kuchafua nchi na vyombo vyote;
wanalichafua Jeshi la Polisi, DPP, na sasa Mahakama, tusipo washughulikia hawa wahuni watatukojolea kichwani.
Amani na Heshima yetu lazima ilindwe kwa gharama yoyote ile.
Kwa gharama yoyote maana yake nini, mbona unaandika kama uko under influence of something prohibited by law.!
 
Pale mtu mmoja kwa kutumia IDs mbili zinazojibashana na kushambuliana, total stupidity.
 
Hii inathibitisha kuwa Mbowe alifanikiwa sana kupenyeza matendo ya uovu na kihalifu kwa wafuasi wake ktk kipindi chake chote akiwa Mwenyekiti wa Chadema.
Tabia za wanachadema zinazo onekana leo hii kama vile; Uhalifu, Ujambazi, Uzaji wa madawa ya kulevya, Kupanga njama za kuuwa watu, kupanga njama za kutenda uhalifu, kujiteka, kuzua taharuki ktk jamii, kueneza uvumi ktk mitandao n.k zote hizo zilikuwa jitihada za Mwenyekiti wao.
Afadhari watu wa chadema kupanga kufanya uwovu kuliko ccm ambao tayari wamefanya uwovu mauwaji, utesaji,uuwaji, udhurumati na utesaji
 
Back
Top Bottom