Na yule Mkurugenzi Mafuru Dodoma aachiwe aendelee na kampunizake za upimaji aendele kula Kwa Urefu wa kambaMuacheni kijana acheze na fursa ndo muda wake...Kila Moja anakula kwa urefu wa kamba yake.
Tangu yule aloeondolewa kisa ana maslahi ya kibiashara sasa kila kiongozi anajianika tu na kuringisha biashara zake
Kwa raha zao maana ni rukhsa kuwa kiongozi na maslahi mengine
Wanabana kote
Sina maana hiyo mkuu labda lugha tuMwingine nani tena aliyejianika?
Sawa lkn ukweli waliosajiri hicho kitu wala hawana habari nacho na mtaji hawana, kubali au kataa.Kwani Musa Moses Nnauye na Maryam Moses Nnauye ndiye Nape Moses Nnauye?
Mbona tuna fling haki za watu namna hii? Kwani ndugu zake hawana haki kufanya shughuli zao halali ? Je ndugu yao kuwa waziri ndo inaondoa haki yao ya asili ya kufanya shughuli yoyote halali.
Tukue kidogo na tuachane na vitu petty.
Wivu tu,..Tuna siku 14 pekoe, japo kuwa hatuna sababu ya muhimu twendeni kuizuia hivyohivyo.View attachment 2774467