Ryaro wa Ryaro1233
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 353
- 885
Ndugu yangu wewe ni Mbumbumbu kweli kweli, kwani 8 billion ni ruzuku toka serikalini Kwa nini Kwa kutumia wanaokutuma Kutupotezea muda hapa Msiende Mahakamani. 8 Billione ni Mali ya Umma Mpelekeni Mh. Mbowe Mahakamani mambo yaishe, Tofauti na Hapo wacha Kujidhalilisha hapa Jamvini. Kwa akili zako ndogo unmadhani Kumtaja Mbowe kila wakati unampunguzia umaalufu... None Sense..Km Chadema t.v. online imewashinda
Wataweza wapi kulipa kodi wakianzisha kituo?
Km bilion 8 zinapigwa na mtu mmoja unategemea nini?
Tumia akili mpwaaKm Chadema t.v. online imewashinda
Wataweza wapi kulipa kodi wakianzisha kituo?
Km bilion 8 zinapigwa na mtu mmoja unategemea nini?
Hata wawe na tv yao kwa mazingira ya sasa, sio rafiki, bado watakuwa kila siku wanapigwa rungu na tcra, na hata hao wafanyakazi watakuwa kwenye wakati mgumu sana!! Kwanza ni kisimbusi gani kitakubali kuiweka hiyo station? Siasa zimegeuzwa kuwa ni uadui siku hizi!!! Yaani unalazimishwa hata kiongozi wa upinzani, umsifie kiongozi wa chama kingine kwa kila jambo?!!! Siku hizi kila tv station muda wote ni sifa za kutukuza tu utadhania mko kwenye kipindi cha kampeni?!!! Taarifa za habari hazieleweki, daaa!!! Zamu hii tumepatikana kweli!!!!Mpaka sasa chama hiki ndiyo kikubwa zaidi miongoni mwa vyama vya upinzani. Kwa wanaokumbuka uchaguzi wa 2010 ulionesha umuhimu wa chama hiki kuwa na kituo chake cha television kitakachooneshwa kwenye luninga mbali na vile vya mtandaoni.
Ikumbukwe pia namna kipindi cha TBC cha "mchakato jimboni" kilivyochangia kuipa umaarufu chadema sanjari na wagombea wake. Mwangwi haukuishia kuipaisha chadema bali pia kuishusha ccm na wagombea wake kiasi cha chama hicho kuwapiga marufuku wagombea wao kushiriki midahalo ile! Pia kipindi hakikumwacha salama mtunzi wake!
Kwa kifupi hakuna asiyejua umuhimu wa upinzani kuwa na jukwaa lao huru hususan nyakati za kampeni. Sasa pamoja na kelele za wafuasi wengi wa chadema kuitaka kuwa na TV yake kitu ambacho ikismua inaweza, mpaka sasa ni ngumu kudhani kuwa kuna mpango kama huo ndani ys chama.
Sasa hebu tujadili. Unadhani nini kinawakwamisha watu hawa kuwa na TV station yao? Je ni utashi hafifu? Ni ukata?
Tujadili.
Itv inapatikana kwenye dish ya futi 6 TBC haipatikani.alafu unasema mnaweza wakati kulipa tu bando kwenye satellite ili ipatikane mnashindwa.mmebaki kundandia kwenye media za watu binafsi uku mkiwapa mzigo mkubwa wa ghalama ili kufunga midish mikubwa.Km Chadema t.v. online imewashinda
Wataweza wapi kulipa kodi wakianzisha kituo?
Km bilion 8 zinapigwa na mtu mmoja unategemea nini?
Upo sahihi mkuu.Hata wawe na tv yao kwa mazingira ya sasa, sio rafiki, bado watakuwa kila siku wanapigwa rungu na tcra, na hata hao wafanyakazi watakuwa kwenye wakati mgumu sana!! Kwanza ni kisimbusi gani kitakubali kuiweka hiyo station? Siasa zimegeuzwa kuwa ni uadui siku hizi!!! Yaani unalazimishwa hata kiongozi wa upinzani, umsifie kiongozi wa chama kingine kwa kila jambo?!!! Siku hizi kila tv station muda wote ni sifa za kutukuza tu utadhania mko kwenye kipindi cha kampeni?!!! Taarifa za habari hazieleweki, daaa!!! Zamu hii tumepatikana kweli!!!!
Nilizotuma mimi zilikuja kwako?Nani alikudanganya zilichangwa mil 350? Kile kilikuwa kiini macho
WCB wako wangapi,na ukoo wenu mko wangapi? Je mnayo?Ina maana wanashindwa hata na WCB?
Mjibu mleta mada.
Jibu langu ndio hiloMjibu mleta mada.
Usiniulize maswali yasiyo na mantiki.
Zingekuwa zimetumwa kwa unayemuabudu ungesema zimevuka malengo,usukule shidaMlizotuma nyie hazizidi milion 10