Elections 2015 CHADEMA/ UKAWA wakitaka kuichapa CCM wamchague Tundu Antiphas Lissu kupeperusha bendera ya Urais

Hapana lisu awe mbunge na uwaziri wa mambo ya sheria utaona raha yake....
Pia slaa akikosa kusimama urais basi arudi karatu akagombee ubunge
 
Ukawa mkitaka kuichukua nchi hii msimamisheni kijana Tundu lisu.

Siwakubali ukawa hasa kwa ngazi ya uraisi lakn kama atasimama huyu jamaa Tz watafarakana..

Acheni ubaguzi mtu kama slaa miaka yote tunaliona lenyew tuu na halina ya maana ya kuongea zaidi ya njaa tu.

Ukija lipumba ndip tupa kule tangu 95 anabuluzwa tuu. Tumechoka kuwaona sura zenu na mawazo yenu chakavu
 
Naunga mkono hoja! Hiyo namba moja hata 2020 iko valid. Actually all of them!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…