CHADEMA ukimuondoa Mbowe inaenda kuwa TLP, Chama cha siasa kinahitaji mtu mzito, mwenye historia ya kuwa Oligarch

CHADEMA ukimuondoa Mbowe inaenda kuwa TLP, Chama cha siasa kinahitaji mtu mzito, mwenye historia ya kuwa Oligarch

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii

Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania

Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais, mawaziri, n.k.

Mbowe katokea Olifarchy, Baba yake alitoa msaada mkubwa enzi za uhuru kwa kina Nyerere, baada ya Uhuru alendelea kuwa na connections nzito na wanasiasa wazito.

Mbowe hata kama ni upinzani ni daraja lingine na tofauti, ni Oligarch.

Mrema alianzisha TLP aliwahi kuwa naibu waziri mkuu, na yeye alikuwa sehemu ya oligarch,

Mlipoona Mbowe anawaleta kina Lowassa ni mfano mdogo wa impact ya Oligarch kwenye Vyama, Lowassa aliibust Chadema kwasababu ni Oligarch alie play big part siasa za nchi kwa miaka mingi, Wengi waliona ni usalti bila kujua siasa ni mchezo wa stragies, hakuna maadui / marafiki wa kudumu.

Hawa kina Lissu wana msaada mkubwa zaidi wakiwa sehemu ya chama, Sio kuongoza Chama, Hawana background ya Oligarch ya nchi,

Mtu ataefaa kurithi nafasi yake yafaa awe Oligarch vinginevyo Chaddema inaenda kuwa TLP
 
Sio kwamba Chama kinatakiwa kuwa Taasisi yaani nguvu ni wanachama na itikadi (message) ?

Mimi nilidhani cha kupigania ni kuwa na Fikra zinazoeleweka kwa wengi hence hata kiama au bila uongozi Bado message inaeleweka

Mbona kama unaongea Vice Versa ?
 
Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii

Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania

Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais, mawaziri, n.k.

Mbowe katokea Olifarchy, Baba yake alitoa msaada mkubwa enzi za uhuru kwa kina Nyerere, baada ya Uhuru alendelea kuwa na connections nzito na wanasiasa wazito.

Mbowe hata kama ni upinzani ni daraja lingine na tofauti.

Mrema alianzisha TLP aliwahi kuwa naibu waziri mkuu sehemu ya oligarch,

Hawa kina Lissu wakipewa chama, ni hatari
Kwani Sasa sio TLP?
 
Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii

Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania

Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais, mawaziri, n.k.

Mbowe katokea Olifarchy, Baba yake alitoa msaada mkubwa enzi za uhuru kwa kina Nyerere, baada ya Uhuru alendelea kuwa na connections nzito na wanasiasa wazito.

Mbowe hata kama ni upinzani ni daraja lingine na tofauti.

Mrema alianzisha TLP aliwahi kuwa naibu waziri mkuu sehemu ya oligarch,

Hawa kina Lissu wakipewa chama, ni hatari
Umeandika ujinga ujinga,

Politics is all about influence sio umetoka ukoo Gani,
 
Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii

Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania

Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais, mawaziri, n.k.

Mbowe katokea Olifarchy, Baba yake alitoa msaada mkubwa enzi za uhuru kwa kina Nyerere, baada ya Uhuru alendelea kuwa na connections nzito na wanasiasa wazito.

Mbowe hata kama ni upinzani ni daraja lingine na tofauti.

Mrema alianzisha TLP aliwahi kuwa naibu waziri mkuu sehemu ya oligarch,

Hawa kina Lissu wakipewa chama, ni hatari
Huo ndio ukweli, Mbowe ni muungwana sana ni kama Dr Nchimbi wa CCM. Uongozi na mbinu zake kwa nyakati tofauti anazijua.
 
Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii

Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania

Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais, mawaziri, n.k.

Mbowe katokea Olifarchy, Baba yake alitoa msaada mkubwa enzi za uhuru kwa kina Nyerere, baada ya Uhuru alendelea kuwa na connections nzito na wanasiasa wazito.

Mbowe hata kama ni upinzani ni daraja lingine na tofauti, ni Oligarch.

Mrema alianzisha TLP aliwahi kuwa naibu waziri mkuu, na yeye alikuwa sehemu ya oligarch,

Mlipoona Mbowe anawaleta kina Lowassa ni mfano mdogo wa impact ya Oligarch kwenye Vyama, Lowassa aliibust Chadema kwasababu ni Oligarch alie play big part siasa za nchi kwa miaka mingi, Wengi waliona ni usalti bila kujua siasa ni mchezo wa stragies, hakuna maadui / marafiki wa kudumu.

Hawa kina Lissu wana msaada mkubwa zaidi wakiwa sehemu ya chama, Sio kuongoza Chama, Hawana background ya Oligarch ya nchi,

Mtu ataefaa kurithi nafasi yake yafaa awe Oligarch vinginevyo Chaddema inaenda kuwa TLP
Uozo mtupu ,unatia aibu aisee
 
Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii

Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania

Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais, mawaziri, n.k.

Mbowe katokea Olifarchy, Baba yake alitoa msaada mkubwa enzi za uhuru kwa kina Nyerere, baada ya Uhuru alendelea kuwa na connections nzito na wanasiasa wazito.

Mbowe hata kama ni upinzani ni daraja lingine na tofauti, ni Oligarch.

Mrema alianzisha TLP aliwahi kuwa naibu waziri mkuu, na yeye alikuwa sehemu ya oligarch,

Mlipoona Mbowe anawaleta kina Lowassa ni mfano mdogo wa impact ya Oligarch kwenye Vyama, Lowassa aliibust Chadema kwasababu ni Oligarch alie play big part siasa za nchi kwa miaka mingi, Wengi waliona ni usalti bila kujua siasa ni mchezo wa stragies, hakuna maadui / marafiki wa kudumu.

Hawa kina Lissu wana msaada mkubwa zaidi wakiwa sehemu ya chama, Sio kuongoza Chama, Hawana background ya Oligarch ya nchi,

Mtu ataefaa kurithi nafasi yake yafaa awe Oligarch vinginevyo Chaddema inaenda kuwa TLP

Wakati ukuta, muda wa Mbowe kuwa mwenyekiti wa cdm umeshapita. Njooni na porojo zote mtakazo, lakini anapaswa akae pembeni kama kweli anaitakia mema cdm.
 
Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii

Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania

Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais, mawaziri, n.k.

Mbowe katokea Olifarchy, Baba yake alitoa msaada mkubwa enzi za uhuru kwa kina Nyerere, baada ya Uhuru alendelea kuwa na connections nzito na wanasiasa wazito.

Mbowe hata kama ni upinzani ni daraja lingine na tofauti, ni Oligarch.

Mrema alianzisha TLP aliwahi kuwa naibu waziri mkuu, na yeye alikuwa sehemu ya oligarch,

Mlipoona Mbowe anawaleta kina Lowassa ni mfano mdogo wa impact ya Oligarch kwenye Vyama, Lowassa aliibust Chadema kwasababu ni Oligarch alie play big part siasa za nchi kwa miaka mingi, Wengi waliona ni usalti bila kujua siasa ni mchezo wa stragies, hakuna maadui / marafiki wa kudumu.

Hawa kina Lissu wana msaada mkubwa zaidi wakiwa sehemu ya chama, Sio kuongoza Chama, Hawana background ya Oligarch ya nchi,

Mtu ataefaa kurithi nafasi yake yafaa awe Oligarch vinginevyo Chaddema inaenda kuwa TLP
Binafsi napata tabu Sana taasisi nzima inategemea mtu mmoja, sijaawahi elewa hili
 
Wakati ukuta, muda wa Mbowe kuwa mwenyekiti wa cdm umeshapita. Njooni na porojo zote mtakazo, lakini anapaswa akae pembeni kama kweli anaitakia mema cdm.
Kupima kama kweli mbowe anaitakia mema chadema ni safari hii, Ile moyo wa umageuzi hauoneshe sasa
 
Naunga mkono kabisa.Lissu kama anataka aanzishe chama chake aone kama atapata hata viongozi wa kumfuata. Lissu ni debe tupu tu.
Lissu atapata wafuasi lakini wafadhili wawezakana wasiwe wengi mwanzoni.
Na Chama ni pesa,No money no honey.
Madhumuni ya chama ni kuchukua madaraka,kama ataweza kunyakua viti angalau 20 vya wabunge itakuwa ni mwanzo mpya,Lakini akija ambulia kimmoja au sifuri itakuwa ndio mwanzo wa mwisho wa siasa za ushindani.
 
Back
Top Bottom