CHADEMA ukimuondoa Mbowe inaenda kuwa TLP, Chama cha siasa kinahitaji mtu mzito, mwenye historia ya kuwa Oligarch

CHADEMA ukimuondoa Mbowe inaenda kuwa TLP, Chama cha siasa kinahitaji mtu mzito, mwenye historia ya kuwa Oligarch

Lissu atapata wafudolasi lakini wafadhili wawezakana wasiwe wengi mwanzoni.
Na Chama ni pesa,No money no honey.
Madhumuni ya chama ni kuchukua madaraka,kama ataweza kunyakua viti angalau 20 vya wabunge itakuwa ni mwanzo mpya,Lakini akija ambulia kimmoja au sifuri itakuwa ndio mwanzo wa mwisho wa siasa za ushindani.
Kwenye siasa inaanzia Imani kwanza, pesa inafuata.Pia kazi ya bodi ya wadhamini ni nn? Mbowe apewe bodi ya wadhamini mambo yaende, chadema wakumbuke lengo lao kuu ni kushika Dola, washikamane kwa Hilo, nafasi zinakuja na kutoka.
 
Lissu atapata wafuasi lakini wafadhili wawezakana wasiwe wengi mwanzoni.
Na Chama ni pesa,No money no honey.
Madhumuni ya chama ni kuchukua madaraka,kama ataweza kunyakua viti angalau 20 vya wabunge itakuwa ni mwanzo mpya,Lakini akija ambulia kimmoja au sifuri itakuwa ndio mwanzo wa mwisho wa siasa za ushindani.
Sio kwamba dhima ya Chama ni kuwaunganisha watu / wanachama wenye fikra sawa hivyo kuweza kupaza sauti na kusikika zaidi kuliko vinginevyo ?

Ndio maana nilishasema Bongo kwa Kiasi kikubwa na duniani kwa ujumla vyama vya Siasa vishakuwa ni platforms za watu kwenda kula... Huenda its about time Demokrasia ikawa automated

 
Back
Top Bottom