LGE2024 CHADEMA Uyui Wanyimwa Fomu za Wagombea na Afisa Mtendaji

LGE2024 CHADEMA Uyui Wanyimwa Fomu za Wagombea na Afisa Mtendaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Wana jamvi, kazi yangu ni kuzunguka tuu na kuwaletea yanayojiri, jioni hii nikiendelea na harakati zangu za utafutaji, nimekutana na wazee wa CHADEMA eneo la Ndala lililopo Wilayani Uyui Tabora.

Wazee wa CHADEMA wanadai kwamba wameenda kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kwa Afisa Mtendaji.

CHA AJABU watu wa CHADEMA wameambiwa kwamba Fomu zimeisha, na walipojaribu kuomba wachange hela wakatoe fotocopy ili walau wapate fomu za uongozi mwenyekiti akakataa Abadani.

Mimi kijumbe tu kuleta taaarifa.
 
Wana jamvi, kazi yangu ni kuzunguka tuu na kuwaletea yanayojiri, jioni hii nikiendelea na harakati zangu za utafutaji, nimekutana na wazee wa CHADEMA eneo la Ndala lililopo Wilayani Uyui Tabora.

Wazee wa CHADEMA wanadai kwamba wameenda kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kwa Afisa Mtendaji.

CHA AJABU watu wa CHADEMA wameambiwa kwamba Fomu zimeisha, na walipojaribu kuomba wachange hela wakatoe fotocopy ili walau wapate fomu za uongozi mwenyekiti akakataa Abadani.

Mimi kijumbe tu kuleta taaarifa.
Fomu mnachukua kwa Mtendaji, kumbe Mwenyekiti ndie alikataa msitoe nakala.
 
Wana jamvi, kazi yangu ni kuzunguka tuu na kuwaletea yanayojiri, jioni hii nikiendelea na harakati zangu za utafutaji, nimekutana na wazee wa CHADEMA eneo la Ndala lililopo Wilayani Uyui Tabora.

Wazee wa CHADEMA wanadai kwamba wameenda kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kwa Afisa Mtendaji.

CHA AJABU watu wa CHADEMA wameambiwa kwamba Fomu zimeisha, na walipojaribu kuomba wachange hela wakatoe fotocopy ili walau wapate fomu za uongozi mwenyekiti akakataa Abadani.

Mimi kijumbe tu kuleta taaarifa.
Huyo afisa ni mpuuzi sana
 
Wana jamvi, kazi yangu ni kuzunguka tuu na kuwaletea yanayojiri, jioni hii nikiendelea na harakati zangu za utafutaji, nimekutana na wazee wa CHADEMA eneo la Ndala lililopo Wilayani Uyui Tabora.

Wazee wa CHADEMA wanadai kwamba wameenda kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kwa Afisa Mtendaji.

CHA AJABU watu wa CHADEMA wameambiwa kwamba Fomu zimeisha, na walipojaribu kuomba wachange hela wakatoe fotocopy ili walau wapate fomu za uongozi mwenyekiti akakataa Abadani.

Mimi kijumbe tu kuleta taaarifa.
Waende mahakamani kusimamisha uchaguzi haya mambo ya kulalama pasipo kuchukua hatua stahiki ni ujinga.
 
Huo mkoa unapata maendeleo kwa kusuasua sana kwa sababu ya akili za wenyeji/wakazi zisizochangamka.Wanajidumaza kwa kupenda kwao kukumbatia upuuzi.
 
Wana jamvi, kazi yangu ni kuzunguka tuu na kuwaletea yanayojiri, jioni hii nikiendelea na harakati zangu za utafutaji, nimekutana na wazee wa CHADEMA eneo la Ndala lililopo Wilayani Uyui Tabora.

Wazee wa CHADEMA wanadai kwamba wameenda kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kwa Afisa Mtendaji.

CHA AJABU watu wa CHADEMA wameambiwa kwamba Fomu zimeisha, na walipojaribu kuomba wachange hela wakatoe fotocopy ili walau wapate fomu za uongozi mwenyekiti akakataa Abadani.

Mimi kijumbe tu kuleta taaarifa.
Tuikatae CCM na viongozi wake.
 
Hayo ni maelekezo kutoka juu
Hao hao CCM wakisema yalikuwa maagizo ya Magufuli sasa hayupo na uzinifu wa Kura unaendelea..
Wenyeviti wa Mita wametoa rushwa ya kutisha sikuwahi kujua kama uenyekiti WA mtaa unalipa kiasi hiki!
 
Wana jamvi, kazi yangu ni kuzunguka tuu na kuwaletea yanayojiri, jioni hii nikiendelea na harakati zangu za utafutaji, nimekutana na wazee wa CHADEMA eneo la Ndala lililopo Wilayani Uyui Tabora.

Wazee wa CHADEMA wanadai kwamba wameenda kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kwa Afisa Mtendaji.

CHA AJABU watu wa CHADEMA wameambiwa kwamba Fomu zimeisha, na walipojaribu kuomba wachange hela wakatoe fotocopy ili walau wapate fomu za uongozi mwenyekiti akakataa Abadani.

Mimi kijumbe tu kuleta taaarifa.
CCM wanafanya usanii mkubwa sn
 
Back
Top Bottom