Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SawaKulikoni kumchagulia vita au nchi ambayo mwenyewe hajasema? Busara ilikuwa Kwa Kila mtu kujisemea vita yake kama huyu mwamba wa akina Yericko Nyerere :
View attachment 2710678
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaKulikoni kumchagulia vita au nchi ambayo mwenyewe hajasema? Busara ilikuwa Kwa Kila mtu kujisemea vita yake kama huyu mwamba wa akina Yericko Nyerere :
View attachment 2710678
Hayupo asiyependa hoja, wote tunapenda kusikiliza na kuchangia hoja, akiwemo Dr. Lwaitama, pamoja na mimi nawe.
Lakini wakati ambao bado unaikumbuka hoja ya mwenzio ya jana, ghafla leo unaona anageuka, anaanza kuzungumza vitu tofauti na jana, hapo lazima uwe makini..
Mfano, ACT msimamo wao ulikuwa Tume Huru kwanza, sijui ni lini walibadilika kwa pamoja wakaanza kusema Katiba Mpya kwanza, sasa unapoamua kumfuata mtu wa aina hii, umakini unahitajika, anaweza kukuacha solemba muda usiotarajia..
Uwepo wa mtu kwenye siasa kwa upande wangu hauna shida, tatizo langu ni kinywa kimoja na cha mtu mmoja, kuwa na ndimi mbili, hapo ndipo kuchanganyana kunapoanzia.Jambo muhimu katika siasa zenye tija yaani za kisayansi ni kutenganisha baina ya watu na hoja.
Tupende hoja za watu si watu. Vivyo hivyo tuchukue hoja zao Lakini si wao.
Tukiwa na musimamo hii hatuwezi kukwazika na watu. Kwa maana kuwa hoja fyongo tutazitupa kule Lakini si watu. Hoja kuntu tutazikumbatia Lakini si watu.
Kwa mtaji huu hoja ya mtu na mtu juzi inahusika vipi wapi?
Kwanini isiwe ruksa mtu kukengeuka ila sisi tunaangalia hoja zake zenye nashiko peke?
Uwepo wa mtu kwenye siasa kwa upande wangu hauna shida, tatizo langu ni kinywa kimoja na cha mtu mmoja, kuwa na ndimi mbili, hapo ndipo kuchanganyana kunapoanzia.
Hivi kushirikiana na Mnafiki kuna faida gani? ACT haipiti siku 2 bila kiongozi wake wa ngazi ya juu kuisema vibaya CHADEMA. Imefikia hatua Juma Duni anailaumu CCM kwamba wao ACT wanamtetea Mwenyekiti wa CCM kuliko CCM wenyewe. Kwamba miongoni mwa kazi halali za ACT ni kuitetea CCM na viongozi wake. Wewe uliona wapi Aina hiyo ya upinzani wa kupinga wapinzani?Si kutokea Jun tu hadi leo. Zingatia clip hii ya Dr. Lwaitama. CDM wa mitandaoni waliokaza bongo zao ni mzigo kwa chama:
View attachment 2710472
Kwa ujumla wanarudisha nyuma jitihada za ukombozi.
Lini watambue Umoja ni nguvu ndugu hao?
Handsome boy CBE unamrithi FaizafoxyWenye busara wana dhihaka hii..."never give wisdom to unworthy as it unjust to the knowledgeable"!!!!
Hata kukosoa kuna adabu zake....
Wengi wetu vijana tumekuwa msambweni katika hili.....
Ni kama hatujui tunapigania nini katika "mvurugiko" wa dunia ya sasa na changamoto zake.....
Safari ni ndefu sana na tunaweza KUIPUNGUZA ikiwa tutataka na kubadilika......
#SiempreJMT[emoji120]
Hivi kushirikiana na Mnafiki kuna faida gani? ACT haipiti siku 2 bila kiongozi wake wa ngazi ya juu kuisema vibaya CHADEMA. Imefikia hatua Juma Duni anailaumu CCM kwamba wao ACT wanamtetea Mwenyekiti wa CCM kuliko CCM wenyewe. Kwamba miongoni mwa kazi halali za ACT ni kuitetea CCM na viongozi wake. Wewe uliona wapi Aina hiyo ya upinzani wa kupinga wapinzani?