Pre GE2025 CHADEMA waachwe Waandamane lakini wapewe Ulinzi wa kutosha, Watarahisisha sana Miswada ya Sheria za Uchaguzi Kupita mapema!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe lazima utakuwa nyumbu, tena wale wa kundi la kamanda msaliti.
Unataka wewe ndiyo uwe kigezo cha kutathimini uandishi wangu? Unataka niandike unavyotaka wewe? Dude, who are you?
Hili ndilo tunaloliongelea hapa, nyie nyumbu hamna ustaarabu wa kuvumilia hoja na mitazamo kinzani ya watu wengine. Mnataka kila mtu aone kila kitu kama mnavyoona nyie! Mnataka kila mnyana akimbie kainamisha kichwa kama nyie! Kwa taarifa yako, wengine tulishatoka kwenye level za unyumbu.
 
Wao wanataka miswada ifutiliwe mbali
 
Tangu nijitambue nasikiaga maandamano ya amani ni haki ya kikatiba na kibanadamu
Lakini sijawahi Ona polisi wakitoa kibali cha maandamano kwa wanaokosoa serikali
Duuh!
 
Unamshauri nani?
 
Tangu nijitambue nasikiaga maandamano ya amani ni haki ya kikatiba na kibanadamu
Lakini sijawahi Ona polisi wakitoa kibali cha maandamano kwa wanaokosoa serikali
Duuh!
Inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…