Well said Mwiba, katiba mpya ilianza kuzungumzwa zamani na wazalendo wa nchi hii hasa wanasheria, kuanzia tume ya Nyalali, Kisanga, n.k hatimaye CUF waliichukua na kutengeneza "draft katiba" ...wakati chadema walikuwa pembezoni sana kwenye siasa za Tanzania..
Thank God sasa wana stake kwenye siasa sote twende kwa pamoja tudai tume huru, katiba mpya, yenye kupunguza na kudhibiti madaraka ya Rais wa nchi...zinduka tutafika