johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Zanzibar na Tanganyika hazijaungana katika kila Kitu ulielewe hiloSasa mbona mfano wako ni irrelevant? Watu wanazungumzia rais wa znz kuwa na say Tanganyika wewe unatolea mfano wa ruto na m7 wakati si sehemu ya JMT.
Ndio sababu mabalozi wakipokelewa nchini lazima waende kwa Rais wa SMZ kujitambulisha
Kuna maeneo fulani Dr Mwinyi na Dr Ruto wanakuwa Sawa tu!