Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,294
- 6,872
Umefanya nisome tena hiyo post. LolNdio maana huwa namiss posts zako, nimecheka mno!
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya nisome tena hiyo post. LolNdio maana huwa namiss posts zako, nimecheka mno!
Hakuna cha kukataliwa ni taarifa inatolewa tu. 😁😁😁 mwanasheria afu vifungu vimekupiga chengaAsante sana, kwa taarifa ni muhimu sana, inaonyesha Chadema sasa ni chama makini kinachofuata katiba, sheria taratibu na kanuni.
This is very good news and a good move, ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.
P
Ni kufuata taratibu zinazo hitajika kisheria kufuatwa. Hakuna sheria inayo zuia maandamano ya amani. Sasa unataka tu kunipotezea muda kueleza kinacho eleweka na kila mtu mwenye akili timamu.Maandamano yenu yalishapigwa Marufuku kitambo tu
Sasa barua ya nini tena?
Ina maana hajawahi kumuona Mbowe kwenye maandamano na mtoto wake? Usiwadanganye wananchi kuwa maandamano ni uasi wala uvunjifu wa amani na Sheria. Chadema wameandamana mara ngapi na ulishawahi kuona vurugu? Wameandamana mikoa 5. Dar, Mbeya, Arusha, Mwanza na, nimesahau mkoa mmojaFamilia ya Mbowe nayo itaandamana au?
Haya ya sasa ya Samia must go yamevuka red lineIna maana hajawahi kumuona Mbowe kwenye maandamano na mtoto wake? Usiwadanganye wananchi kuwa maandamano ni uasi wala uvunjifu wa amani na Sheria. Chadema wameandamana mara ngapi na ulishawahi kuona vurugu? Wameandamana mikoa 5. Dar, Mbeya, Arusha, Mwanza na, nimesahau mkoa mmoja
Wewe humtakii mema, mwenzako alichukuwa fomu akagombea kuteuliwa kuwa mgombeabwa ccm jimbo la kawe akaambulia kura moja, akagombea ubunge wa bunge la EA akaliwa kichwa, maccm ni mashetani.Ha ha ha , wewe ulifaa kuwa waziri wa kazi na vijana maana unajua kudeal na vijana .
Ni wakati sasa Paskali uingie kwenye Serikali kuu au chukua form ya ubunge .
Haiwezekan bunge limejaza watu kama kina tale tale huku watu critical kama nyie hampo sehemu kama hiyo kutoa michango thabiti….. badala yake vijana wamegeuka kuwa machawa as a year means ya kuishi
Nataman siku moja Upate hata ubunge wa viti malum … TZ inahitaji kuwa na watu critical kama nyie kwenye sehemu nyeti
Sheria inakitaka chama cha siasa kutoa taarifa angalau saa 48 kabla ya siku ya maandamano hii ni kwa mujibu wa K/F 43 (1)cha CAP 322. Kifungu 43(2) kinaruhusu kuendelea na maandalizi ya maandamano hadi utakapopata zuio la maandamano. Lakini kifungu cha 43(3) kinampa mamlaka Polisi ofisa aliyepelekewa taarifa, akifanya tathmini kuwa maandamano yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani, atajibu barua kukataza maandalizi na ufanyikaji wa maandamano.Hofu yangu je wakikataliwa katiba inataka waandamane hivyo hivyo ?
Ama katiba inasema mkikataliwa muisfanye ?
Au katika inasema mkikataliwa fanyeni hivyo hivyo ?
Isijekuwa kuna gap la kisheria ambalo litaupa kila upande hoja za kuhalaljsha watakachofanya siku hiyo
Paskal- polisi hawajashindwa kufanya uchuguzi- tumeamua tu kutowapa mda na tumewanyima ushirikiano.1. Kwanza you are right
Ukitaka kuandamana toa taarifa ya maandishi polisi, sio kuomba ruhusa!.
2. Baada ya kutoa taarifa lazima usubirie kibali cha maandishi kuruhusu, kuandamana.
3. Serikali inaposhindwa kuchunguza tukio, Scotland Yard huwa wanaitwa, hivyo Chadema are right.
P