Ni kweli CCM wapo radhi kumpa kila wakala wa CHADEMA hata mil 10 aachie ngoma... na uzuri wa CCM wanalipa cash..
Hii ni changamoto nyingine...na ndiyo maana wamekataza mawakala kutumia simu zao kurecord chochote ndani ya kituo..
CHADEMA hakikisheni unapata support kubwa for ya mataifa kuhusu hili otherwise CCM ni vibaya wazoefu mno.
Mnyika John nakuamini sana, work on this issues its beyond your reach.
God bless CHADEMA, sauti ya watanzania wanyonge.
Hii ni changamoto nyingine...na ndiyo maana wamekataza mawakala kutumia simu zao kurecord chochote ndani ya kituo..
CHADEMA hakikisheni unapata support kubwa for ya mataifa kuhusu hili otherwise CCM ni vibaya wazoefu mno.
Mnyika John nakuamini sana, work on this issues its beyond your reach.
God bless CHADEMA, sauti ya watanzania wanyonge.