janja pwani
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 104
- 9
Magwanda ni kawaida yao kufanya fujo. Huwa hawawezi kushinda bila kupiga watu.
Akiongea baada ya kuulizwa na waandishi wa habari mbunge wa ubungo John mnyika amekiri kuwasili kwa vijana hao akidai kuwa wamekuja ili kulinda kura wakiwa katika coaster 10, tunaomba jeshi la polisi liwe macho na vijana hapo sisi tunatambua lengo lao ni kwenda kuvuruga uchaguzi.
Mkuu ebu weka wazi, wewe na nani?Akiongea baada ya kuulizwa na waandishi wa habari mbunge wa ubungo John mnyika amekiri kuwasili kwa vijana hao akidai kuwa wamekuja ili kulinda kura wakiwa katika coaster 10, tunaomba jeshi la polisi liwe macho na vijana hapo sisi tunatambua lengo lao ni kwenda kuvuruga uchaguzi.
Yaani coaster kumi tu? Natamani ziende coaster mia.
Kila siku nasema humu JF CDM wanasomba wahuni wanawapeleka Igunga watu mnabisha leo mmeona wenyewe!
Cha kujiuliza hivi ni nani anaewalipa posho pamoja na kugharamia Chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 2000 lazima kutakuwa kuna kikundi kinaifadhili CDM ili kuleta fujo na machafuko nchini.
Angalizo kwa Jeshi la Polisi kuweni makini kama mtazidiwa nguvu lipo Jeshi la Wananchi JWTZ
Kila siku nasema humu JF CDM wanasomba wahuni wanawapeleka Igunga watu mnabisha leo mmeona wenyewe!
Cha kujiuliza hivi ni nani anaewalipa posho pamoja na kugharamia Chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 2000 lazima kutakuwa kuna kikundi kinaifadhili CDM ili kuleta fujo na machafuko nchini.
Angalizo kwa Jeshi la Polisi kuweni makini kama mtazidiwa nguvu lipo Jeshi la Wananchi JWTZ
craaaaaaaap bin puuumbaKila siku nasema humu JF CDM wanasomba wahuni wanawapeleka Igunga watu mnabisha leo mmeona wenyewe!
Cha kujiuliza hivi ni nani anaewalipa posho pamoja na kugharamia Chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 2000 lazima kutakuwa kuna kikundi kinaifadhili CDM ili kuleta fujo na machafuko nchini.
Angalizo kwa Jeshi la Polisi kuweni makini kama mtazidiwa nguvu lipo Jeshi la Wananchi JWTZ
Nape at work. Upuuzi mtupu!
Nachukua fursa hii kuwalaumu sana mods. Thread kama hii si tu zinaharibu na kuchafua maana halisi ya "home of great thinkers" lakini zinatuonesha kwamba hawafanyi kazi ya kuzipitia ndio ziwekwe jukwaan kama wanavyosema. Thread haina source na imekaa kimajungu kabisa lakini wameiposti.
Upuuzi kabisa huu!?
ni mtu gani usiyepumzika wewe?
Kila siku nasema humu JF CDM wanasomba wahuni wanawapeleka Igunga watu mnabisha leo mmeona wenyewe!
Cha kujiuliza hivi ni nani anaewalipa posho pamoja na kugharamia Chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 2000 lazima kutakuwa kuna kikundi kinaifadhili CDM ili kuleta fujo na machafuko nchini.
Angalizo kwa Jeshi la Polisi kuweni makini kama mtazidiwa nguvu lipo Jeshi la Wananchi JWTZ
Hovyo! mnadhani JWTZ nalo ni kitengo cha CCM kama ilivyo Polisi? Ninavyojua wapo wachache wenye kujipendekeza kutafuta vyeo lakini nina uhakika wa kuwemo wengi tu wenye uchungu wa dhati kwa nchi yao hii. Mungu libariki JWTZ, likinge na wahuni wanaotaka kuligeuza chombo cha ukandamizaji.Kila siku nasema humu JF CDM wanasomba wahuni wanawapeleka Igunga watu mnabisha leo mmeona wenyewe!
Cha kujiuliza hivi ni nani anaewalipa posho pamoja na kugharamia Chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 2000 lazima kutakuwa kuna kikundi kinaifadhili CDM ili kuleta fujo na machafuko nchini.
Angalizo kwa Jeshi la Polisi kuweni makini kama mtazidiwa nguvu lipo Jeshi la Wananchi JWTZ
Nchi ikishakombolewa, watu kama wewe mtakosa hata mbuni ya kuperuzia internet. Lazima uweweseke kama hivi.