Chadema Wajikite kwenye Katiba Mpya suala la DP World limeshashughulikiwa na Waraka wa TEC pamoja na akina Mwabukusi!

Chadema Wajikite kwenye Katiba Mpya suala la DP World limeshashughulikiwa na Waraka wa TEC pamoja na akina Mwabukusi!

Mkutano wa Chadema pale Shinyanga Mjini haukuwa na msisimko kwa sababu mambo waliyoongea yalikuwa yanajirudia

Mambo ya DP World yameshawasilishwa kwa Wananchi kwa upana sana kupitia Waraka wa TEC ambao TV Imaan na hata BASUTA wameufanyia rejea

Ni vema sasa Chadema mkajikita kwenye kudai Katiba Mpya

Nawatakia Sabato Njema [emoji1]
Ushauri Mzuri Sana
 
Mkutano wa Chadema pale Shinyanga Mjini haukuwa na msisimko kwa sababu mambo waliyoongea yalikuwa yanajirudia

Mambo ya DP World yameshawasilishwa kwa Wananchi kwa upana sana kupitia Waraka wa TEC ambao TV Imaan na hata BASUTA wameufanyia rejea

Ni vema sasa Chadema mkajikita kwenye kudai Katiba Mpya

Nawatakia Sabato Njema 😄
Mmenyosha mikono juu?
 
🤓sawa
makuwadi ya warabu yameshindwa kutetea mkataba wa bandari baada ya chongolo kukosa watu mwanza akaona bora akae kimya sasa nyie makuwadi mliobaki mnataka chadema iache kunusuru bandari kwa upuuz wa mleta mada na makuwadi ya dpworld.
 
wacha waendelee na ndp world watakuja kushtukia 2025 hawajauza sera zao tena sasa hivi wauze sera siyo matusi wananchi waanashindwa kuwaelewa
Chadema ni Jumuiya za Chama kama zilivyo UWT, UV CCM, Jumuiya ya Wazee, ACT, KKKT na Bakwata

suala la Bandari lilipoanza kuibana Serikali kwa hoja kali kali kwa watu wa mwanzo mwanzo kina Shivji, Lipumba n.k kuanza kuponda Serikali nayo ikajikuta haina majibu na haijui itatokaje ghafla Chama pendwa wakaanza kuongelea Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na siku chache zijazo wakaanda Mkutano wa hadhara na Maaskofu na Wainjilist pale Temeke kujadili ya Bandari

tulionya sana humu tukasema hawa jamaa wanawatengenezea watawala uchochoro wa kutokea

zamani miaka kama 20 iliyopita maeneo ya Kariakoo ilikuwa Vibaka kabla ya kuiba wanapanga vibaka wenzao wawe wa kwanza kupiga kelele mtu akishaibiwa na kujifanya kama wanamsaidia aliebiwa kumbe kelele nyingi ni za kuvuruga attention na kumsaidia mwizi kuchomoka eneo la hatare

Wazee wa Kitengo wakapata kisingizo ch kuchomekea 'tusichanganye dini na Siasa '

CCM walipovurugana sana 2015 wakati wakijipanga kukinukisha ndani ya NEC wakatokea wahuni wakashauri ' tuwaaache wachague. Mgombea wao na sie tuhamie Chadema'

ngumu sana kueleweka ila bado Tanzania hakijapatika Chama sahihi cha Upinzani
 
Back
Top Bottom