Wanabodi wa jf
Katika hali ambayo CHADEMA wamefanya la maana Mpango wao wa kutaka kubeba zigo la serikali kuwapatia wanafunzi pesa ya kujikimu.
Kiongozi mmoja ambaye pia ni Mbunge wa CHADEMA jana alisema anaenda Dsm na watahakikisha wanaanda mpango wa haraka kuwaokoa Wanachuo hao ambao serikali ya CCM Imewakacha.
Amesema wanachuo ambao mpaka sasa hawajapata fedha zao wanaishi maisha ya dhiki na anasa.
Hata hivyo taarifa za ndani za wanafunzi chuoni hapo zinasema hata baadhi ya Makada hawajapa mkopo, Waliotajwa ni pamoja na Mwenyekiti wa CCM wa Chunya Sauli Mwaisenye na Katibu wa CCM UDOM NA MJUMBE WA UVCCM TAIFA, Elius Ndabila.
Hata hivyo walivyopigiwa simu Kuulizwa suala hilo Ndabila alisema nenda bodi utapata taarifa.
Mpango huo wa CHADEMA Unaratibiwa na Wabunge wake na wamesema watawasaidia wanafunzi bila kujali rangi, dini wala itikadi. Wamesema hawana uwezo wa kuwapa fedha ya kuwaridhisha kama Bodi badala yake kuwapunguzia ukali wa maisha.
NAWASILISHA.
umeona sasa hii wenje anawakataa wapiga kura wake ili hali wana CCM wanaamini ngome kubwa ya upinzani wao ipo nyegezi na ndiyo ilimfanya mr masha kuachia kiti na hasa SAUT leo hii anawakana kusemea tu kuwa jamani vip katika jamii wahusika wakasikia
hizi ni kelele za kisiasa tu kaka window7 tuwasubiri waje watoe ukweli.
sasa mtu anaishi vipi maisha ya dhiki na anasa kwa wakati mmoja?Wanabodi wa jf
Katika hali ambayo CHADEMA wamefanya la maana Mpango wao wa kutaka kubeba zigo la serikali kuwapatia wanafunzi pesa ya kujikimu.
Kiongozi mmoja ambaye pia ni Mbunge wa CHADEMA jana alisema anaenda Dsm na watahakikisha wanaanda mpango wa haraka kuwaokoa Wanachuo hao ambao serikali ya CCM Imewakacha.
Amesema wanachuo ambao mpaka sasa hawajapata fedha zao wanaishi maisha ya dhiki na anasa.
Hata hivyo taarifa za ndani za wanafunzi chuoni hapo zinasema hata baadhi ya Makada hawajapa mkopo, Waliotajwa ni pamoja na Mwenyekiti wa CCM wa Chunya Sauli Mwaisenye na Katibu wa CCM UDOM NA MJUMBE WA UVCCM TAIFA, Elius Ndabila.
Hata hivyo walivyopigiwa simu Kuulizwa suala hilo Ndabila alisema nenda bodi utapata taarifa.
Mpango huo wa CHADEMA Unaratibiwa na Wabunge wake na wamesema watawasaidia wanafunzi bila kujali rangi, dini wala itikadi. Wamesema hawana uwezo wa kuwapa fedha ya kuwaridhisha kama Bodi badala yake kuwapunguzia ukali wa maisha.
NAWASILISHA.