CHADEMA wajitokeza UDOM kuwasaidia wanafunzi wasio na mkopo mpaka sasa

Kama kweli CDM wameamua kuwasaidia wanachuo wa UDOM, Wasiingiliwe na Magambazi.

Kuna taarifa kwamba walioandikishwa majina wanatafutwa watimuliwe chuo. HII NI HAKI?
 
Wanabodi ni juzi tu CDM imetangaza kutaka kuwasaidia wanachuo wote wa UDOM ambao tangu chuo kifunguliwe october hawajapata fedha zao.

Kuonyesha kwamba Menejimenti ya Udom kuna ubabaishaji, leo wamebandika zaidi ya majina 50, miongoni mwa ambao hawakupata Mkopo kwamba wasaini leo na kuingziwa fedha zao haraka.

SWALI: Walikuwa wapi kuwapa fedha zao kabla ya CDM?

Hao wengne hatima yao nini?

Au ni Maagizo kutoka white house/NEC?

Udom ni aibu kubwa kwa Jk na wenzake, ambao badala ya kufika kujionea adha na uodho wa Udom, wameishia kupigiana simu na akina Kikula na Mlacha na kuelekezwa Udom kukoshwali wakati hali siyo hivyo.
 
Vyuon kwel hal ni ngumu,make unakuta m2 ana mkopo lkn fedha hazionkan!
 

Watu wa UDOM ni kweli hizi pesa zilitolewa na CDM?
 
hizi ni kelele za kisiasa tu kaka window7 tuwasubiri waje watoe ukweli.
 
Siasa na elimu wapi na wapi?tutafute njia za kuwasaidia waliokosa mkopo na si kuhusisha siasa,tuwe great thinkers,tujaribu kufahamu kuwa siasa ni propaganda,zenye ukweli %15,uchochezi %25 na uongo %60,kamwe tusiwape wanasiasa nafasi ya kuwatumia wasomi wetu,ya serikali iachiwe serkali
 
umeona sasa hii wenje anawakataa wapiga kura wake ili hali wana CCM wanaamini ngome kubwa ya upinzani wao ipo nyegezi na ndiyo ilimfanya mr masha kuachia kiti na hasa SAUT leo hii anawakana kusemea tu kuwa jamani vip katika jamii wahusika wakasikia

kwani ni chuo cha wenje
 
hizi ni kelele za kisiasa tu kaka window7 tuwasubiri waje watoe ukweli.

Ndio maana Tunataka uthibitisho wanasiasa wanatudanganya sana nchi hii. Hasa kwenye matatizo wao huyatumia kushawishi watu kuwachagua badala yakutatua
 
sasa mtu anaishi vipi maisha ya dhiki na anasa kwa wakati mmoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…