CHADEMA wakataza

Tumekuzoea mwana izaya, kumbe unafanya yote haya ili ufungiwe uanze kulia lia kwa majina mengine. Kama maneno ni mkuki basi inaelekea nimewachoma sana wewe na kubwajinga. Unamjua kisaraka wa mtaa asiyejua vibaya?

Asha

Nilikuwa namjibu Mwanakijiji naona umevamia wewe vipi?au ulifikiri Diaspora ulikovamia na topic isihusika.mtu mzima ovyoo!!
 
Natumaini wanachama wengine watataka atoe uthibitisho wa madai yake ambayo amekuwa akiyatoa mara kwa mara na yapo zaidi ya 10 ambayo anavyoyatoa ni kwa sababu anao ushahidi siyo speculative bali definitive. Na aje aseme lile analojua juu yangu.

M. M.
 
Haipendezi mkuu basi nipe namba yako nikupigie.kwanini wanaume mjifanye wana wake?Muunguja gani anahangaika na Chadema mbona mlikosa mgombea wa urais mkamchukua mchagga wenu ANNA KOMU ulikuwa wapi?
 
Nipigie na mimi 1 248 686 2010... na uulize habari zozote unazotaka kujua kuhusu mimi . Vinginevyo jibu madai uliyoyatoa dhidi yangu na ambayo hujawahi kuniuliza au kutafuta ukweli kutoka kwangu. Vinginevyo yakane madai yako au niombe radhi.

M. M.
 
Chinga Tafadhali Usiwe Na Tabia Za Matusi , Kushambulia Au Kusema Vitu Ambavyo Huna Uhakika Au Ushahidi Navyo Haswa Ukielekeza Kwa Watu Ambao Huwajui .

Ni Kweli Una Uhuru Wa Kuongea Chochote Unachotaka Lakini Sio Matusi , Dharau Na Lugha Zingine Ambazo Hazina Masilahi Kwa Forum Na Wanachama Wake Kwa Ujumla Tunakuomba Ufute Ulichoandika Na Kuomba Radhi Mara Moja .

Hongera Mwanakijiji Kwa Kuwa Mvumilivu Na Kumwambia Wazi Bila Kificho Kuhusu Hisia Zako Moja Kwa Moja .

Wiki Hii Lunyungu Alinitukana Na Kunidhalilisha Naona Mpaka Sasa Hivi Bado Ana Peta Tu

Sijui Tutafika Kweli
 

Ni matumaini yangu kuwa wewe ni mwanachama kweli... maana isijekuwa shabiki tu... maana Tanzania haya yanawezekana...
 
Heee

yaani kauli chafu anazozitoa mwafrka wa kike ni za kuvumilika? nilisoma mwafrika wa kike akimwita mukandala muuaji, hiyo je haiumi. Jamani mkipewa matusi vumilieni tu maana huwa mnachekelea wengine wakitukanwa! wa kwetu pole.
 
Chinga:

Nimekusoma mara nyingi ukinisingizia mimi kuwa ni Asha Abdala na kuniporomoshea matusi. Una haki kabisa ya kunichukia na hata kunitukana kwa sababu zozote zile ulizo nazo, lakini kwa kweli huna haki ya kunizushia mambo. Niliamua ku-ignore posts zako za kunisingizia mimi kuwa ni Asha Abdala. Lakini naona unaendelea na uongo ukiendelea kusemwa na kurudiwa mara kwa mara hujenga taswira ya ukweli. Sasa natamka hapa kwa nia ya kuweka record kuwa mimi sio Asha Abdala. Asha pia ameshajibu mara kadhaa hapa kuwa yeye sio Kitila Mkumbo, lakini kwa sababu unazozijua wewe unaendelea.

Kwa vyovyote vile, sina uwezo wa kukufanya uache kufikiri na kuamini kile ambacho wewe umeamua kufikiri na kuamini. Lakini kwa watu wanaofuatilia maandishi ya watu hapa wanajua tofauti ya wazi iliyopo kati ya maandishi yangu na ya Asha.

Siwezi kumaliza post hii bila kutoa malalamiko yangu ya dhati kabisa kwa administrator na moderators wa JF. Naamini kazi za administrator na moderators ni pamoja na kulinda haki na hadhi ya members hapa. Ninasikitishwa sana na kitendo chenu cha kukaa kimya huku mkiona baadhi ya members wenu wakishushiwa hadhi na kuchafuliwa utu wao kwa kila aina ya matusi na kusingiziwa mambo ambayo nyie kama watunza kumbukumbu zetu mnajua kabisa kwamba sio kweli. Nyie mnajua kabisa ukweli wote kwamba mimi sio Asha Abdala na ninaamini pia Mwanakijiji sio Mwafrika wa Kike wala Bi Senti, lakini, kwa sababu mnazozijua nyie, mmekaa kimya huku Chinga akiendelea na uongo na matusi yake kama vile yeye yupo juu ya taratibu tulizoziwekea hapa na tukakubaliana wote kama members. Ninaamini hii si sawa.
 
Jamani watu wengine hawapo hapa kujadili mambo ya maana zaidi ya kufanya vurugu, wana uhuru wa kuongea lakini uhuru unapovuka mipaka inakera sana, tunaitaji kueshimiana ili tuweze kumsikiliza kila mmoja wetu mawazo yake yawe yanakingana au yanakubaliana kwa kuwa hatuwezi kukubaliana wote hapa lazim tutofautiane.
 

Ahhh wapi, kuna watu ukitofautiana nao unaitwa fisadi, mwana ccm au mtetezi wa mafisadi. Labda JF ni ya wanachama wa chama fulani...mie mgeni hapa so inabidi kwanza nikae kando niwaachie wenye ukumbi ndio wanajua kusema mweee.
 
Ahhh wapi, kuna watu ukitofautiana nao unaitwa fisadi, mwana ccm au mtetezi wa mafisadi. Labda JF ni ya wanachama wa chama fulani...mie mgeni hapa so inabidi kwanza nikae kando niwaachie wenye ukumbi ndio wanajua kusema mweee.

Mama,
Wewe mgeni lakini macho yako mazuri. Ni vema na wewe umeliona hilo na kuliongelea, mimi tayari nishaitwa mwana-CUF, muislam itikadi kali, mkabila n.k. Shame on JF for allowing this to continue. No wonder that MJJ is now accused of being on Mbowe's payroll.
 

Asha,
Kama MJJ alivyoonyesha jinsi ya ku-deal na uzushi, na mimi naomba utoe ushahidi wa hizi accusations zako kwangu au waeleze wanamtandao kuwa umechemsha tena.



Tupe link ya kiukweli ya majibu ya Zitto na Mnyika. Hizo link feki ulizoziweka naomba uziondoe na kuapologize kwa wanaukumbi kwa kuwadanganya.


Assuming your case is true, iweje kuwa kama walitaka Mzanzibari ilibidi wamchukue Mrs. Komu ambaye ni Mzanzibara wa Kilimanjaro?


Kuhusiana na hili la wewe kupigwa marufuku na Chadema, nakupa tena pole. Lakini inaelekea wewe unawaheshimu sana viongozi wa Chadema na unadumisha kila kile uambiwacho. Swali langu ni kuwa, hivi wakikwambia usiwe unatetea tena Chadema kwenye JF au wakikuambia uondoke JF utakubali?

Mwisho ni kuwa, nimeamua kuitumia ile signature yako ya awali, je una mawazo gani??
 
Chinga kama kawaida amekimbia na atarudi baadaye na akirudi mtaona atakavyojifanya anaonewa na people ganged upon him. Kuomba radhi hawezi. Lakini, kuna wakati kama alivyosema ndugu yangu Kitila, uongo ukiachwa uenezwe bila kupingwa watu huuona kuwa ni ukweli.

Chinga aje na kutoa ushahidi wa maneno yake na anayo ruhusa yangu kufanya hivyo kuhusu mimi.

M. M.
 




Kubwa Jinga

Mi si mtaalamu wa kuweka hizo links, kwa hiyo ambayo imekataa kufungua-nilidhamiria kuweka links ya kwenye thread hii- http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12123 eneo ambalo nilianza kukuuliza maswali ambayo mpaka sasa hujanijibu. Hebu ingia kwanza huko ujibu maswali yangu.

Kuhusiana na majibu ya Zitto na Mnyika kuhusu Viti Maalumu sijaweka link yoyote, nimekwambia ufanye searching. Lakini kama hujui pia, hebu mwambie Game Theory aweke hapa link za thread zote ambazo Zitto na Mnyika wamezungumzia suala la Viti Maalum kuanzia kwenye “Mbowe Vs Chifupa”, “The only thing to fear”, “Focus 2010”, “CHADEMA Must reform” na nyingine nyingi tu. Mi niliwahi kufanyiwa searching hapa nikaona kuwa suala hili Zitto na Mnyika wamelitolea maelezo hapa vizuri kabisa mwaka 2006, 2007 na hata 2008 mpaka wanachama wengine humu wakaridhika

Nijibu pia jamani, nimeuliza swali kama uliwahi kufukuzwa CUF kutokana na tabia yako ya kuwabagua watu kutokana na dini na makabila yao.

Asha
 

KM
Chinga aliwahi kusema kuwa wewe ni mwanasiasa na unasoma mji wa UK, ulikatusha sana kipindi hicho unatumia Mwanasiasa na ukasema kuwa nani kasema unasoma UK, lakini baadaye imejulikana ni kweli.
Senti50 kasema mimi na maslahi binafsi toka kwa JK na kuna sehemu kasema kuwa Mswahili ni godoro la JK na jana kasema mimi ni Chinga, Mtalii na Mswahili,nilitegemea na hili uwafahamishe Ma moderators au kwa vile sisi wengine hatuchangii Chadema?
mie sijaona tusi ulilotukanwa na Chinga labda umetumwa na Mwanakijiji ili umlinde na tabia yake ya kutumia majina mengi kama yalivyotajwa humu.
Asha Abdallah kasema Kubwajinga ni Chinga na Mugongo hilo hujalitolea maelekezo.

Nashindwa kukusoma unaposema kuwa Mwanakijiji sio Mwafrika wa kike jee wewe ni moderator humu? au kwa vile ni mwanachadema unamsaidia.

wiki iliyopita kulikuja na habari ya wewe kukamatwa ililetwa na Brazameni akaja ES akasema kuwa huyo jamaa ni member mkubwa JF na anatumia jina maarufu sana, bwana Kitila hukujibu hoja hiyo lakini hili la Mwanakijiji limekuuma sana.

mimi nilifungiwa for the whole week last week kwa kujibizana na senti 50 lakini moderator hawakumfungia senti 50 na wewe hukuja kunitetea. leo hii Chinga kusema maneno kwa mwanakijiji ambayo si matusi kama anayotoa Senti 50 kwa rais wetu na RO na members wengine humu na kuna dada yuko Foreign anamtukana sana wewe umekaa kimya tena tunakutegemea kama Msomi na mwanaharakati.
Kwako wewe Mwanakijiji ni bora kuliko rais wetu.

Asante bwana mkubwa tumekusoma. umgekuwa na maana japo kumtetea Brazameni kwa kuonesha mapenzi kwako. kumbe kwako kuwa Mwanachadema ni bora zaidi.
 

Unajuaje kama hata omba radhi? huo ndio ustaarabu wetu JF.
Naomba utumie nguvu hii kumwambia senti 50 aache kututukana halafu sisi tunafungiwa na yeye ana kinga na moderators.
 

Kitila Mkumbo hili halioni akitajwa Mwanakijiji hapo anatakuja juu kama kafumania.
 
mzee kifimbo, na wewe umeingia kwenye mwanakijiji bashing? kwanini usijitete wewe mwenyewe bila kuniingiza mimi? Kama Bi. Senti 50 amewaudhi kwanini msipingane na yeye na kuniingiza mimi? Mimi wewe nimekukosea nini hadi ulitaje jina langu mara nyingi kama vile wewe ni Mtalii, Chinga au Mswahili?

Yaani huwezi kujenga hoja hadi utaje mwanakijiji kwani mimi nina humu hadi unitaje taje hivyo. Jenga hoja zako ziache zisimame wenyewe. Nimemuomba Chinga aje atoe ushahidi wake na sikumtaja mtu mwingine yoyote yule, mbona umenicharukia bila sababu?

Niamnbie nilipokosea nikuombe radhi kwani huo ndio uungwana. Vinginevyo naomba uniache usiniingize katika malumbano yenu na Bi. Senti 50 au MwK. Beba mzigo wako mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…