Wewe ni kichaa
Acha uongo laki si pesa!
ratiba ya shughuli ya kesho inaonyesha hawa wote watahudhuria na watambulishwa !Nendezi mkazikane
LOWASSA (Richmond)
ROSTAM (dowans)
CHENGE (Richmond, EPA, RADA, Escrow)
KALAMAGI (Mikataba ya buzwagi)
LUGEMALILA (Escrow)
Kwa pamoja tunawaita wazee wa madili A.K.A mafisadi NYANGUMI
ndo hawa wanataka urais
Hahhaaaa akyanani walaiiii
Labda awe rais wa Ng'0mbeee ila sio watu!
Kamanda mbona umejificha? Karibu sana kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid
By Mwalimu Julius Kambarage NyerereUongozi wetu na hatima ya Tanzania
Mkuu, Arusha, wanakaa makabila yote ya Tanzania!Siasa za ukanda, nothing else!
Endelea kuota ndoto
Vijana ccm hamna falsafa ya pmj.mitizamo yenu kama washirikina.
Kama Lowassa anajiamini ni kwanini anahangaika kukodi magari ya kusafirisha watu mpaka Arusha?