Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

Kuna watu wanaishi kwa pesa za wizi tu

Sasa wewe mleta mada
Nani awape nchi mafisadi?
Chenge_waziri mkuu
Rostam_waziri wa pesa
Karamagi_miundombinu
 
hakuna watu wajanja kama wa arusha kamwe. hapo wanamsoma kwanza huyo fisadi papa.wao hula pesa yake kwanza wakati wa uchaguzi kura ni chadema. kitendo cha ccm kuwaambia wana arusha walijilipua wenyewe kwenye mkutano wa chadema. kitaitesa sana ccm hapo arusha.
 
Anajitahidi kutuaminisha kuwa anakubalika huku atumia pesa nyingiiiii akitegemea kujilipa akiingia ikulu, loh!!!!

Amesahau ya mkwe wake sioi alivyotolewa kamasi na Nassari mtoto wa maskini
 
Jamani tukubaliane kwa Kauli moja, LOWASSA hazukiliki kirahisi kama mnavyodhani!
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinawe

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!

kwani anagombea ubunge wa arusha mjini?
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!
Kama kumbukumbu zako ziko vizuri, kumbuka wakati Lema anashinda alishindana na akina nani...Lowasa hakuwa mmojawapo? Kikwete? Na wengine je? El angekuwepo a nakubali asingelipia watu toka mikoa mingine waje Arusha kesho, wangejigharamia wenyewe na kufika kumsikiliza...
 
Lowasa alishindwa na nassari ataweza urais????....
Jambazi sugu na fisadi papa lowasa kamwe hawezi kuwa rais wa tz. Ajiandae kisaikolojia kuwa raia mwema maana amesema hatagombea ubunge
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!
wananchi wa Arusha watakula sana pesa za Lowasa Lakini kura ni kwa Lema kwani wananchi wa Arusha ni tofauti sana na wananchi wa Chalinze
 
Kuna watu wanaishi kwa pesa za wizi tu

Sasa wewe mleta mada
Nani awape nchi mafisadi?
Chenge_waziri mkuu
Rostam_waziri wa pesa
Karamagi_miundombinu

Nimesikia Lowassa mwenye ndie atakuwa Rais na naibu gavana? ili awe anashinda BOT kuchota kila zinazoingia?
 
njaa itakuua dogo....hebua amka kutoka usingizini.....wewe mlete hata kinana arusha then msimamishe na lema uone atakavoaibika..
 
Mkuu mbona unazunguka mbuyu? we kiambie chama chako kwamba ktk ninyim EL
haepukiki.Usimnadi kwa kuhusisha jina la kamanda Lema wala CDM maana utachekwa.
Wa mnadi EL chukua fungu lako sepa.
 
Km Lowasa Mwizi na Fisadi mbona hamumkamati?. Mfungeni bac jela. Km mmeshindwa kumkamata bac sio mwizi.
 
Lowasa anahangaika bure IKULU SIYO WODI YA WAGONJWA.
 
lema na wanachadema hawausiki.mkutano ni wa lowassa wa ccm.au umeona ni mpira wa yanga na simba huo
 
Back
Top Bottom