Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mwelekeo waliokuwanao mwanzoni ambao uliupenda na sasa wameupoteza ni upi?
Kama ni hivyo safi sana.Wa kutafuta kura Moshi na Mbezi waliko wachagga wenzao
😄Kama ni hivyo safi sana.
Heko CHADEMA kwa kuweka msimamo wa chama wazi huu ni ukomavu na uwajibikaji mkubwa!
Comte hongera kwa kuwa mpo njia panda ya dunuani na mnaujua vyema uelekeo wenu.CHADEMA=HAMAS
Hivi inakuwaje mtu unaishabikia ccm hadi leo!Angekuwa atekwa mgesema kiongozi wenu; kasema mnayosema mnasema heko
Ni vichaa tu,wale ambao bado kung'amua kuwa wao ni wamilembe.Hivi inakuwaje mtu unaishabikia ccm hadi leo!