CHADEMA, Wale wote ambao hawataki kuponywa majeraha ya uchaguzi ni vyema wakafunguliwa mlango wa kutokea

CHADEMA, Wale wote ambao hawataki kuponywa majeraha ya uchaguzi ni vyema wakafunguliwa mlango wa kutokea

Annunaki

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
2,042
Reaction score
3,674
Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea.

Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzi alijawa na kisasi dhidi ya Lissu.

Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.

Ni vyema chama kifungue milango tu ,anayetaka kubaki kujenga chama abaki, asiyetaka aondoke kuliko hii mipasho inayoendelea ya kuhujumu chama.

Watu kama Yericko Nyerere, Henry Kilewo , Asenga na wengineo ambao bado wanaendeleza mipasho mitandaoni wanatakiwa kupewa onyo Kali na chama au waondoke kwenye chama.

Uchaguzi umeisha, Lissu ameshinda kihalali, msaidieni kujenga chama, hiki chama ni tumaini la watanzania.
 
Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea.

Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzo alijawa na kisasi dhidi ya Lissu.

Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.

Ni vyema chama kifungue milango tu ,anayetaka kubaki kujenga chama abaki, asiyetaka aondoke kuliko hii mipasho inayoendelea ya kuhujumu chama.

Watu kama Yericko Nyerere, Kileo , Asenga na wengineo ambao bado wanaendeleza mipasho mitandaoni wanatakiwa kupewa onyo Kali na chama au waondoke kwenye chama.

Uchaguzi umeisha, Lissu ameshinda kihalali, msaidieni kujenga chama, hiki chama ni tumaini la watanzania.
Majeraha ya uchaguzi huchukua muda kupona. Walioshindwa wataendelea kuamini kwamba bila kile wanachokiamini kuwa foul play ya wale walioshinda, mgombea wao angeshinda!
 
Majeraha ya uchaguzi huchukua muda kupona. Walioshindwa wataendelea kuamini kwamba bila kile wanachokiamini kuwa foul play ya wale walioshinda, mgombea wao Angeshinda!
Kama hawako tayari kuendelea na mapambano chini ya uongozi mpya ni vyema waondoke tu kwenye chama.

CHADEMA itapata wanachama wengine wapya wenye hali mpya kabisa.
 
Ukisikiliza pande zote mbili kwa makini hasa kwenye mahojiano (Mbowe na Tundu) kupitia vyombo vya habari utajifunza kitu.Kama akili imetulia utaona kabisa Bwana Tundu alikuwa na kauli za kukurupuka.
1) Tundu Lissu hakupima baadhi ya kauli za shutuma dhidi ya Mbowe.Mfano, kauli ya kusema Mbowe kalambishwa asali.Huu ni ukurupikaji.Kwa mujibu wa Mbowe,Makamu Mwenyekiti anayo mamlaka Chadema kikatiba kuwasilisha masuala kama hayo ndani ya vikao ndani ya Chadema.Lakini hakufanya hivyo zaidi ya kupiga kelele kwenye social media.That's wrong.
2) Lissu anatumia sana suala la kupigwa risasi ILI kutafuta huruma ya jamii na kuchomeka mambo yake.
3) Kauli ya kitoto alioitoa baada ya kuchaguliwa kwamba HAJUI OFISI YA MWENYEKITI ILIPO,???!!! ni kauli ya kihuni sana.Alipokuwa Makamu Mwenyekiti Ina maana ofisi za Chadema zilikuwa chini ya mti wowote wenye upepo na kivuli?
Kwa Taasisi kama Chadema kuwa na Kiongozi anayekurupuka na kutopima anayosema ni hasara.
3) Kutumia lugha ya "Pesa za Mama Abduli zimetumika kuhonga".
Mama Abduli yupi anayeongelewa kwenye medani ya kisiasa? Kikatiba na taratibu za politics who is Mama Abduli? Kiongozi makini hawezi akafanya mambo ya Tom & Jerry kwenye masuala serious ya nchi.
Hii inatia shaka
 
Ukisikiliza pande zote mbili kwa makini hasa kwenye mahojiano (Mbowe na Tundu) kupitia vyombo vya habari utajifunza kitu.Kama akili imetulia utaona kabisa Bwana Tundu alikuwa na kauli za kukurupuka.
1) Tundu Lissu hakupima baadhi ya kauli za shutuma dhidi ya Mbowe.Mfano, kauli ya kusema Mbowe kalambishwa asali.Huu ni ukurupikaji.Kwa mujibu wa Mbowe,Makamu Mwenyekiti anayo mamlaka Chadema kikatiba kuwasilisha masuala kama hayo ndani ya vikao ndani ya Chadema.Lakini hakufanya hivyo zaidi ya kupiga kelele kwenye social media.That's wrong.
2) Lissu anatumia sana suala la kupigwa risasi ILI kutafuta huruma ya jamii na kuchomeka mambo yake.
3) Kauli ya kitoto alioitoa baada ya kuchaguliwa kwamba HAJUI OFISI YA MWENYEKITI ILIPO,???!!! ni kauli ya kihuni sana.Alipokuwa Makamu Mwenyekiti Ina maana ofisi za Chadema zilikuwa chini ya mti wowote wenye upepo na kivuli?
Kwa Taasisi kama Chadema kuwa na Kiongozi anayekurupuka na kutopima anayosema ni hasara.
3) Kutumia lugha ya "Pesa za Mama Abduli zimetumika kuhonga".
Mama Abduli yupi anayeongelewa kwenye medani ya kisiasa? Kikatiba na taratibu za politics who is Mama Abduli? Kiongozi makini hawezi akafanya mambo ya Tom & Jerry kwenye masuala serious ya nchi.
Hii inatia shaka
Lissu ni mhuni lakini kwakuwa wanachadema wanapenda wahuni tuwaache muda utaongea.
 
Ukisikiliza pande zote mbili kwa makini hasa kwenye mahojiano (Mbowe na Tundu) kupitia vyombo vya habari utajifunza kitu.Kama akili imetulia utaona kabisa Bwana Tundu alikuwa na kauli za kukurupuka.
1) Tundu Lissu hakupima baadhi ya kauli za shutuma dhidi ya Mbowe.Mfano, kauli ya kusema Mbowe kalambishwa asali.Huu ni ukurupikaji.Kwa mujibu wa Mbowe,Makamu Mwenyekiti anayo mamlaka Chadema kikatiba kuwasilisha masuala kama hayo ndani ya vikao ndani ya Chadema.Lakini hakufanya hivyo zaidi ya kupiga kelele kwenye social media.That's wrong.
2) Lissu anatumia sana suala la kupigwa risasi ILI kutafuta huruma ya jamii na kuchomeka mambo yake.
3) Kauli ya kitoto alioitoa baada ya kuchaguliwa kwamba HAJUI OFISI YA MWENYEKITI ILIPO,???!!! ni kauli ya kihuni sana.Alipokuwa Makamu Mwenyekiti Ina maana ofisi za Chadema zilikuwa chini ya mti wowote wenye upepo na kivuli?
Kwa Taasisi kama Chadema kuwa na Kiongozi anayekurupuka na kutopima anayosema ni hasara.
3) Kutumia lugha ya "Pesa za Mama Abduli zimetumika kuhonga".
Mama Abduli yupi anayeongelewa kwenye medani ya kisiasa? Kikatiba na taratibu za politics who is Mama Abduli? Kiongozi makini hawezi akafanya mambo ya Tom & Jerry kwenye masuala serious ya nchi.
Hii inatia shaka
Mbowe alivyosema walipanga kumpindua?
Acha kutetea ujinga. Lissu kwenye interviews zake amenyooka hamna hila za kisasi wala allegations, huo ni ukweli mtupu.
 
Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea.

Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzi alijawa na kisasi dhidi ya Lissu.

Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.

Ni vyema chama kifungue milango tu ,anayetaka kubaki kujenga chama abaki, asiyetaka aondoke kuliko hii mipasho inayoendelea ya kuhujumu chama.

Watu kama Yericko Nyerere, Henry Kilewo , Asenga na wengineo ambao bado wanaendeleza mipasho mitandaoni wanatakiwa kupewa onyo Kali na chama au waondoke kwenye chama.

Uchaguzi umeisha, Lissu ameshinda kihalali, msaidieni kujenga chama, hiki chama ni tumaini la watanzania.
Ntobi , Yeriko , ni virusi ndani ya chama
 
Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea.

Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzi alijawa na kisasi dhidi ya Lissu.

Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.

Ni vyema chama kifungue milango tu ,anayetaka kubaki kujenga chama abaki, asiyetaka aondoke kuliko hii mipasho inayoendelea ya kuhujumu chama.

Watu kama Yericko Nyerere, Henry Kilewo , Asenga na wengineo ambao bado wanaendeleza mipasho mitandaoni wanatakiwa kupewa onyo Kali na chama au waondoke kwenye chama.

Uchaguzi umeisha, Lissu ameshinda kihalali, msaidieni kujenga chama, hiki chama ni tumaini la watanzania.
Lusungo Quinine Retired Fundi Mchundo Ngongo FUSO Stuxnet. Yericko Nyerere
 
Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea.

Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzi alijawa na kisasi dhidi ya Lissu.

Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.

Ni vyema chama kifungue milango tu ,anayetaka kubaki kujenga chama abaki, asiyetaka aondoke kuliko hii mipasho inayoendelea ya kuhujumu chama.

Watu kama Yericko Nyerere, Henry Kilewo , Asenga na wengineo ambao bado wanaendeleza mipasho mitandaoni wanatakiwa kupewa onyo Kali na chama au waondoke kwenye chama.

Uchaguzi umeisha, Lissu ameshinda kihalali, msaidieni kujenga chama, hiki chama ni tumaini la watanzania.
Tunawalia timing tu hao panya, kama midomo yao bado itakuwa inawasha watakutana macho,

Chama hakitawavumila wajinga wanaotaka kuleta fujo
 
Lissu ni mhuni lakini kwakuwa wanachadema wanapenda wahuni tuwaache muda utaongea.
Chadema genuine hawataki fisadi,wala kibaraka wa mabeberu.
Chadema hawataki kiongozi mamluki.
Lakini Chadema wanapungikiwa kwa kiwango kikubwa na Intelligence ya chama.
Hakuna Intelligence. Ni maskini sana wa Intelligence.
Hadi leo hawajapata ushahidi uliotukuka wa mambo nyeti ya matukio mabaya yaliokikumba chama chao.
Ni hearsay za Advocate Lissu ndio wanasosikiliza bila ushahidi.
Sasa kuna Kaka mdogo Kalubandika aliyewahidi asali akichaguliwa.
Mpe siku 90 za marejesho ya mkopo.
 
Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea.

Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzi alijawa na kisasi dhidi ya Lissu.
Nitajie moja ambazo zilionyesha unalodai. Katika mahojiano yake Mbowe alikuwa anasikitika tu kuwa wamefika walipofika katika mahusiano yake na Lissu na wengine. Ni kweli alisema kuwa baada ya uchaguzi, wote waliokuwa wameenda kinyume na maadili na miongozo ya chama wachukuliwe hatua. Hakusema ni wa upande upi uchukuliwe hatua. Lakini kwa matamshi ya upande wenu inaonekana mnajua kuwa mlienda kinyume na maadili ya chama.
Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.
Naona mnataka kumgeuza Lissu kuwa Mungu mtu ambae hawezi kukosolewa. Lissu mwenyewe alipinga mambo ya kumuita " mpango wa Mungu". Kukoa hakuna maana mtu anataka kuukwamisha uongozi mpya. Kama hamtaki ukosolewa basi mtakuwa hamna tofauti na wenzenu ambao kila kukicha ni kumuimbia mapambio kiongozi wao. Mtakuwa mnamharibia mtu wenu.
Ni vyema chama kifungue milango tu ,anayetaka kubaki kujenga chama abaki, asiyetaka aondoke kuliko hii mipasho inayoendelea ya kuhujumu chama.
Ni yale yale. Lissu sio Führer. Yeye ni kiongozi wa chama kinachojiita cha demokrasia na kila mwanachama ana haki ya kutoa mawazo yake hata kama hayawapendezi wakubwa katika chama.
Watu kama Yericko Nyerere, Henry Kilewo , Asenga na wengineo ambao bado wanaendeleza mipasho mitandaoni wanatakiwa kupewa onyo Kali na chama au waondoke kwenye chama.
Umetaja wale ambao hawakumuunga mkono Lissu tu. Ndio mwanzo wa kuigeuza Chadema kuwa cult. Hawa wana haki ya kutoa mawazo yao kama vile machawa nao walivyokuwa na haki hiyo hiyo. Kwa mnavyokwenda mtamgeuza Lissu kuwa dikteta ambae kila anaempinga au asiyempenda anachukuliwa hatua au anafukuzwa. Wakina Yericko angalau wana fanya hivyo wazi wazi ukilinganisha na wakina Lissu walioandaa mipango yao kwa siri.
Uchaguzi umeisha, Lissu ameshinda kihalali, msaidieni kujenga chama, hiki chama ni tumaini la watanzania.
Atasaidiwa kujenga chama kwa kukosolewa pale anapokosea. Msisahau kuwa karibu asilimia 50 ya wapiga kura katika Baraza Kuu walimkataa. Badala ya kutaka kuwaonyesha ubabe anatakiwa kuwaonyesha kuwa yeye sio yule waliyemdhania. Kama CDM ya Lissu itageuka kuwa cult basi itapoteza uhalali wa kujiita tumaini la watanzania maana itakuwa ni vehicle ya ambition za Lissu na uchaguzi ujao itahakikisha anapita bila kupingwa. Huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA.

Amandla...
 
Majeraha ya uchaguzi huchukua muda kupona. Walioshindwa wataendelea kuamini kwamba bila kile wanachokiamini kuwa foul play ya wale walioshinda, mgombea wao Angeshinda!
Mara nyingi katika uchaguzi kama huu ni wajibu wa aliyeshinda kuwaonyesha wale ambao hawakumpigia kura kuwa wana nafasi katika chama chao. Kushinda kwa asilimia 2 halafu kutaka kila mtu akuabudu hakutatibu majeraha. Kaka yake Lissu amemshauri mdogo wake aonyeshe "magnanimity" katika ushindi wake. Amsikilize.

Amandla...
 
Kama hawako tayari kuendelea na mapambano chini ya uongozi mpya ni vyema waondoke tu kwenye chama.

CHADEMA itapata wanachama wengine wapya wenye hali mpya kabisa.
Mkuu chama ni watu, lissu sio mtu wa visasi, waache waendelee, lakini chadema itasonga mbele chini ya lissu hatari
 
Back
Top Bottom