LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
..lissu sio mtu wa kutaka kuabudiwa kama Alfa na omega kamweMara nyingi katika uchaguzi kama huu ni wajibu wa aliyeshinda kuwaonyesha wale ambao hawakumpigia kura kuwa wana nafasi katika chama chao. Kushinda kwa asilimia 2 halafu kutaka kila mtu akuabudu hakutatibu majeraha. Kaka yake Lissu amemshauri mdogo wake aonyeshe "magnanimity" katika ushindi wake. Amsikilize.
Amandla...
Tatizo Mbowe hakuvunja kundi lake.Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea.
Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzi alijawa na kisasi dhidi ya Lissu.
Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.
Ni vyema chama kifungue milango tu ,anayetaka kubaki kujenga chama abaki, asiyetaka aondoke kuliko hii mipasho inayoendelea ya kuhujumu chama.
Watu kama Yericko Nyerere, Henry Kilewo , Asenga na wengineo ambao bado wanaendeleza mipasho mitandaoni wanatakiwa kupewa onyo Kali na chama au waondoke kwenye chama.
Uchaguzi umeisha, Lissu ameshinda kihalali, msaidieni kujenga chama, hiki chama ni tumaini la watanzania.
Sasa mbona wafuasi wake hawataki akosolewe? Na kiukweli mtu anajulikana baada ya kupata madaraka makubwa. Tutajua ukweli huo siku zinavyoenda ila wafuasi wake wameanza vibaya...lissu sio mtu wa kutaka kuabudiwa kama Alfa na omega kamwe
Mpenda ibada ya sanamu yaani alfa na omega wa mchongo ndiye alipaswa avunje genge lake na kuwasisistiza wamuunge mkono Lissu.Mara nyingi katika uchaguzi kama huu ni wajibu wa aliyeshinda kuwaonyesha wale ambao hawakumpigia kura kuwa wana nafasi katika chama chao. Kushinda kwa asilimia 2 halafu kutaka kila mtu akuabudu hakutatibu majeraha. Kaka yake Lissu amemshauri mdogo wake aonyeshe "magnanimity" katika ushindi wake. Amsikilize.
Amandla...
Huo sasa utakuwa udikteta. Mbowe hawezi kumlazimisha mtu yeyote amuunge mkono Lissu hata pale anapoona anakosea. Kama nilivyosema ni wajibu wa aliyeshinda kupoza majeraha ya walioshindwa na sio vice versa.Mpenda ibada ya sanamu yaani alfa na omega wa mchongo ndiye alipaswa avunje genge lake na kuwasisistiza wamuunge mkono Lissu.
Chadema chini ya Lissu itakuwa imara sana na yenye mvuto kasoro ndg wa mwenye sacvos wataendelea kununa
Nakumbuka tangu mwanzo wewe ni adui wa LissuHuo sasa utakuwa udikteta. Mbowe hawezi kumlazimisha mtu yeyote amuunge mkono Lissu hata pale anapoona anakosea. Kama nilivyosema ni wajibu wa aliyeshinda kupoza majeraha ya walioshindwa na sio vice versa.
Mandela aliposhinda uchaguzi South Africa alihakikisha kuwa kiongozi wa Inkatha Freedom Party anapata nafasi katika uongozi wake. Ndivyo inavyopaswa kuwa.
Muda ndio utakaoonyesha ukweli wa unachosema. Hata Mrema alipendwa sana lakini mwisho wa siku akatuangusha. Tunakitakia kila la kheri CDM ya Lissu lakini tutaendelea kukikosoa pale tunapoona kinakosea. Huo ni wajib.
Amandla...
Basi akubali na chawa wake pia wakubali kuwa hata ndani ya chama chao kutakuwa na watu watakaopinga strategies zake hivyo ni wajibu wake kuwafanya waelewe mikakati yake na wasipoikubali hapana budi iwe ki-gentlemen's agreement ya 'agreeing to disagree' na walisongeshe ki aina hiyo...lissu sio mtu wa kutaka kuabudiwa kama Alfa na omega kamwe
Mara nyingi katika uchaguzi kama huu ni wajibu wa aliyeshinda kuwaonyesha wale ambao hawakumpigia kura kuwa wana nafasi katika chama chao. Kushinda kwa asilimia 2 halafu kutaka kila mtu akuabudu hakutatibu majeraha. Kaka yake Lissu amemshauri mdogo wake aonyeshe "magnanimity" katika ushindi wake. Amsikilize.
Amandla...
True!Mara nyingi katika uchaguzi kama huu ni wajibu wa aliyeshinda kuwaonyesha wale ambao hawakumpigia kura kuwa wana nafasi katika chama chao. Kushinda kwa asilimia 2 halafu kutaka kila mtu akuabudu hakutatibu majeraha. Kaka yake Lissu amemshauri mdogo wake aonyeshe "magnanimity" katika ushindi wake. Amsikilize.
Amandla...
chadema is no longer my party!
Hapo ndipo mnapo kosea. Mimi sio adui wa Lissu. Mimi nina mkosoa. Sipendi namna kampeni yake ilivyoendeshwa. Na sipendi alivyoanza. Naamini kuwa ana mapungufu yake ambayo itakuwa vyema akiyarekebisha ili awe kiongozi bora zaidi. Hofu yangu ni kuwa kwa kutaka kumfanya Mungu Mtu kutamharibia. Uchawa na uvuvuzela ni tatizo kubwa katika nchi yetu. Lissu hahitaji watu wa namna hiyo. Na mwenyewe amesema hivyo.Nakumbuka tangu mwanzo wewe ni adui wa Lissu
Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.👌🏿Haya ni maoni yangu binafsi, kuna watu walipanga kumumaliza kisiasa kabisa Lissu ,bahati nzuri kwake kwa nguvu ya umma akaibuka kidedea.
Hata huyo Mbowe mnayemsifia ukifuatilia interviews zake zote kabla ya uchaguzi alijawa na kisasi dhidi ya Lissu.
Sasa uchaguzi umeisha ila kuna watu kama hawataki kukubali matokeo ilihali Mbowe yeye ameyakubali na ni kama vile wana mlengo wa kuukwamisha uongozi mpya wa chama.
Ni vyema chama kifungue milango tu ,anayetaka kubaki kujenga chama abaki, asiyetaka aondoke kuliko hii mipasho inayoendelea ya kuhujumu chama.
Watu kama Yericko Nyerere, Henry Kilewo , Asenga na wengineo ambao bado wanaendeleza mipasho mitandaoni wanatakiwa kupewa onyo Kali na chama au waondoke kwenye chama.
Uchaguzi umeisha, Lissu ameshinda kihalali, msaidieni kujenga chama, hiki chama ni tumaini la watanzania.
Mkuu, I understand your frustrations but give them a chance. Bado kuna watu wengi wana nia njema katika chama hicho. Na labda wako sahihi katika baadhi ya approach yao. Only the future will tell. Don't abandon them.chadema is no longer my party!
Kumbe! safi sana. Dawa ya moto ni moto. Kwa kuwa ndani ya ccm kuna wahuni (by Polepole) tumewaletea muhuni apambane na wahuni hao.Lissu ni mhuni lakini kwakuwa wanachadema wanapenda wahuni tuwaache muda utaongea.
Mikuu Fundi Mchundo , my concern siyo kushindwa kwa Mbowe, sina interest na Mbowe at all...what is disturbing my mind ni namna Lisu and team walifanya kampeni zao dhidi ya utu wa Mbowe, mwenzao aliyewwamini kutoka ndai ya moyo wake, kumbe wao walikuwa ni Nunda wala watu..Mkuu, I understand your frustrations but give them a chance. Bado kuna watu wengi wana nia njema katika chama hicho. Na labda wako sahihi katika baadhi ya approach yao. Only the future will tell. Don't abandon them.
Amandla...
Hizo zilikuwa mbinu za ushindi. Msifukue Makaburi. Hiyo imeisha jengeni chamaUkisikiliza pande zote mbili kwa makini hasa kwenye mahojiano (Mbowe na Tundu) kupitia vyombo vya habari utajifunza kitu.Kama akili imetulia utaona kabisa Bwana Tundu alikuwa na kauli za kukurupuka.
1) Tundu Lissu hakupima baadhi ya kauli za shutuma dhidi ya Mbowe.Mfano, kauli ya kusema Mbowe kalambishwa asali.Huu ni ukurupikaji.Kwa mujibu wa Mbowe,Makamu Mwenyekiti anayo mamlaka Chadema kikatiba kuwasilisha masuala kama hayo ndani ya vikao ndani ya Chadema.Lakini hakufanya hivyo zaidi ya kupiga kelele kwenye social media.That's wrong.
2) Lissu anatumia sana suala la kupigwa risasi ILI kutafuta huruma ya jamii na kuchomeka mambo yake.
3) Kauli ya kitoto alioitoa baada ya kuchaguliwa kwamba HAJUI OFISI YA MWENYEKITI ILIPO,???!!! ni kauli ya kihuni sana.Alipokuwa Makamu Mwenyekiti Ina maana ofisi za Chadema zilikuwa chini ya mti wowote wenye upepo na kivuli?
Kwa Taasisi kama Chadema kuwa na Kiongozi anayekurupuka na kutopima anayosema ni hasara.
3) Kutumia lugha ya "Pesa za Mama Abduli zimetumika kuhonga".
Mama Abduli yupi anayeongelewa kwenye medani ya kisiasa? Kikatiba na taratibu za politics who is Mama Abduli? Kiongozi makini hawezi akafanya mambo ya Tom & Jerry kwenye masuala serious ya nchi.
Hii inatia shaka
Ipi nafuu kujitokeza kwenye chombo kikubwa kama bbc na kusema kuna watu wametkutwa na hatia kwa kesi ya ugaidi na wapo wanatumikia vifungo vyao.Chadema genuine hawataki fisadi,wala kibaraka wa mabeberu.
Chadema hawataki kiongozi mamluki.
Lakini Chadema wanapungikiwa kwa kiwango kikubwa na Intelligence ya chama.
Hakuna Intelligence. Ni maskini sana wa Intelligence.
Hadi leo hawajapata ushahidi uliotukuka wa mambo nyeti ya matukio mabaya yaliokikumba chama chao.
Ni hearsay za Advocate Lissu ndio wanasosikiliza bila ushahidi.
Sasa kuna Kaka mdogo Kalubandika aliyewahidi asali akichaguliwa.
Mpe siku 90 za marejesho ya mkopo.
CDM hakuna chawa chawa zipo huku huko kwa mama dula.Basi akubali na chawa wake pia wakubali kuwa hata ndani ya chama chao kutakuwa na watu watakaopinga strategies zake hivyo ni wajibu wake kuwafanya waelewe mikakati yake na wasipoikubali hapana budi iwe ki-gentlemen's agreement ya 'agreeing to disagree' na walisongeshe ki aina hiyo.
Hakuna kiongozi anayekubalika na wote.