Pre GE2025 CHADEMA walidhani wanaweza kumtenganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Pre GE2025 CHADEMA walidhani wanaweza kumtenganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni

Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "

Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹

Mlale Unono 😀😀

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere
 
Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni

Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "

Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹

Mlale Unono 😀😀
Halafu wewe ukishalewa pombe zako za offer lazima utoe boko tu,sasa Chadema inaingiaje hapa? Wewe hata ukizidiwa pombe hadi ukashindwa kumuingilia mkeo fresh asubuhi utajitetea kwa kuitaja Chadema. Uchawa wa uzeeni noma sana mzee
 
Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni

Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "

Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹

Mlale Unono 😀😀
Asante nawe ulale mang'amung'mu.
 
Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni

Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "

Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹

Mlale Unono 😀😀
Mama Leo Kafanya TAIFA litabasamu. Asante SSH
 
Former Zimbabwean President Robert Mugabe’s daily revenge on racism —

“But I don't care, as long as I'm still using white toilet paper to wipe my black ass, with that only, I will be just fine!"

Namimi nasema "Ilimradi SGR Station ya Dar imepewa jina la Magufuli, kwa ilo tu nimelizika". Huyu baba alipambana!
 
Former Zimbabwean President Robert Mugabe’s daily revenge on racism —

“But I don't care, as long as I'm still using white toilet paper to wipe my black ass, with that only, I will be just fine!"

Namimi nasema "Ili mradi SGR Station ya Dar imepewa jina la Magufuli, kwa ilo tu nimelizika". Huyu baba alipambana!
Kwakweli! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni !
Alipambana Ngosha 🙏🙏🙌
 
Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni

Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "

Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹

Mlale Unono 😀😀

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere
CHADEMA wanaingiaje hapo?? hebu tengeneza logical connection hapo.

Je kumbe wana nguvu kiasi Cha kutaka kumtengenisha Samia na Urais wake dhidi ya Magufuli!??
Sijaona UHUSIANO wowote hapo, hukuwa na sababu ya kutaja CHADEMA.🤔🤔
 
Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni

Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "

Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹

Mlale Unono 😀😀

PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere
Unawatibua makamanda😎
 
Back
Top Bottom