johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹
Mlale Unono 😀😀
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹
Mlale Unono 😀😀
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere