Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Hongera sana, vipi LIZABONI unajua chochote? yupo kimyaa sanaaaSaa hizi nakula kuku kwa mrija😎😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana, vipi LIZABONI unajua chochote? yupo kimyaa sanaaaSaa hizi nakula kuku kwa mrija😎😎😎
Mtenganishaji ni Mungu, si umeona mwenyewe?
Baada ya Wahuni kupigwa chini Sasa ndo tunaona Samia ni kitu kimoja na Magufuli.Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹
Mlale Unono 😀😀
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere
Utabaki Sexless hvhvo mshamba mkubwaaaShujaa my foot!
Mshamba aliyetaka kugeuza kijiji chake cha Chato kuwa jiji.
Sasa mbona kila mradi anatajwa nanihii? Mwanzilishi wa huu mradi si Kikwete? Mjenzi si Magu Sasa inakuwaje? Mi sielewi sifa kuhamahama!Hakika hayati Mafufuli alikuwa mtu na nusu hasa kwenye suala la maendeleo. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani.
Mnayo kazi ngumu sana safari hii kumpamba huyo mtunza chawa wenu.Mlale Unono
Na wewe unadandia tu upuuzi wa huyo mlevi Jo,kwani Chadema imehusika nini hapo mambo yenu ya ndani ya CCM mnaitaja Chadema huo ni utaahira.chadema kwa kuchemsha hapana kwa kweli
Wewe Ni mnafiki Sana. Very stupid idiot , CHADEMA imeingiaje kwenye mambo ya SGR?. Shida mkipogwa na wake zenu mnakimbilia kutoa stress zenu JF. Narudia you are very stupid.Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia 🌹
Mlale Unono 😀😀
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere
Wabongo bwana. Hilo lilikuwa Jambo lazima alifanye. Maana kalifanya kwa Marais wote.Kiukwel Mama ameonyesha heshima kubwa sana kwa Jembe JPM, nmempenda bure Samia
Stesheni Kuu ya SGR inaitwa Magufuli 😀Wabongo bwana. Hilo lilikuwa Jambo lazima alifanye. Maana kalifanya kwa Marais wote.
Sio kwa namna mliyojitahid kumchafua Magufuli, Mama angewaskiliza leo hii angekuwa pimbi hvo vituo angevpa hata majina ya mikoa husika ili kumuepuka tu JPMWabongo bwana. Hilo lilikuwa Jambo lazima alifanye. Maana kalifanya kwa Marais wote.