johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Halafu wewe ukishalewa pombe zako za offer lazima utoe boko tu,sasa Chadema inaingiaje hapa? Wewe hata ukizidiwa pombe hadi ukashindwa kumuingilia mkeo fresh asubuhi utajitetea kwa kuitaja Chadema. Uchawa wa uzeeni noma sana mzeeSasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia πΉ
Mlale Unono ππ
Asante nawe ulale mang'amung'mu.Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia πΉ
Mlale Unono ππ
Mama Leo Kafanya TAIFA litabasamu. Asante SSHSasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia πΉ
Mlale Unono ππ
Asante January Makamba-MZEE KULISHA WATU SUMU ili utawale kwa maon yakoShujaa my foot!
Mshamba aliyetaka kugeuza kijiji chake cha Chato kuwa jiji.
Kwakweli! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni !Former Zimbabwean President Robert Mugabeβs daily revenge on racism β
βBut I don't care, as long as I'm still using white toilet paper to wipe my black ass, with that only, I will be just fine!"
Namimi nasema "Ili mradi SGR Station ya Dar imepewa jina la Magufuli, kwa ilo tu nimelizika". Huyu baba alipambana!
Anatafuta ukuu ww wilaya kaka mueleweHalafu wewe ukishalewa pombe zako za offer lazima utoe boko tu,sasa Chadema inaingiaje hapa? Wewe hata ukizidiwa pombe hadi ukashindwa kumuingilia mkeo fresh asubuhi utajitetea kwa kuitaja Chadema. Uchawa wa uzeeni noma sana mzee
CHADEMA wanaingiaje hapo?? hebu tengeneza logical connection hapo.Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia πΉ
Mlale Unono ππ
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere
Mtenganishaji ni Mungu, si umeona mwenyewe?Nyumbu ni wajinga tu
CCM ni makalio tuNyumbu ni wajinga tu
Nyumbu wapo LUMUMBA (MSIGWA)Nyumbu ni wajinga tu
Unawatibua makamandaπSasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa sana kwa Wazalendo wa Taifa letu na Mungu wa Mbinguni mbariki Jasiri Rais Dr Samia πΉ
Mlale Unono ππ
PIA SOMA
- Majina ya vituo vya tren: Dar Magufuli, Moro Kikwete, Dom Samia, Tabora Mwingi, Shinyanga Karume na Mwanza Nyerere
Salama ndugu yangu Magonjwa Mtambuka, naona umekuwa adimu sana Toka UTEULIWE DC! π πUnawatibua makamandaπ
Saa hizi nakula kuku kwa mrijaπππSalama ndugu yangu Magonjwa Mtambuka, naona umekuwa adimu sana Toka UTEULIWE DC! π π