Uchaguzi 2020 CHADEMA walijiandaa na uchaguzi wa mwaka huu 2020?

Uchaguzi 2020 CHADEMA walijiandaa na uchaguzi wa mwaka huu 2020?

Nini kimetokea uzinduzi wa Kampeni za Chadema safari hii? Lile nyomi tulilolizoea la kipindi cha Lowassa liko wapi? Je, hii inaashiria nini kwenye Uchaguzi huu? Wananchi wameamua kutuma msg gani kwa Chadema? Kuna uwezekano kweli wa Chadema kupata hata Jimbo moja Dar es Salaam? Hebu tutafakari. Mimi binafsi mpenda Demokrasia nimeshtuka sana.View attachment 1550913
Hata mimi sielewi mkuu. Chadema watuambie angalau tupitishe bakuli.
 
Ila ujumbe mmeupata na sisi tumeupata. Picha zenu mlizopiga muda wenu nyie sisi hazituhusu. Swali: kati ya Chadema na CCM nani walijiandaa kwa uchaguzi na nani walijiandaa kwa uchafuzi?
Jikite kwenye swali mkuu. Kwa uzinduzi wa leo, CHADEMA walijiandaa?
 
Acheni upotishaji hivi mnapata faida gani?
Picha za saa 7 mchana ndio tbc wamezipandisha kwann wasiweke za umat i wakati wanatimuliwa?
TBC walituma hizo picha zenye watu wachache kwa maslahi ya nani?
 
Watamuelewa tu Lowasa na Slaa .Tundu Lisu keshaanza kupata meseji

Godbless Lema na Salum Mwalimu na Lisu nyuso zao zilikuwa unhappy Ni kitu hawakuelewana walikuwa so frustrated by reading their body language
Sure....Hata mimi niliwaona.
 
Ndiyo propaganda TBC mliyobuni mkidhani itawasaidia CCM? TBC mnachukuwa picha kabla mkutano haujajaa halafu mnakuja kuweka kwenye internet ili watu wadhani Chadema wapinzania hawana watu? Kamuulizeni huyo kilaza wenu kwa nini anawahara sana Chadema kiasi cha kuagiza wagombea wake wakatwe
Acha uoga dogo angalia kivuli cha picha utabaini picha ni ya muda gani
 
Hiyo kama ni asubuhi, tupia ya jioni iliyopigwa kwa juu ili tujue uongo na ukweli
 
Back
Top Bottom