MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
- Thread starter
-
- #81
Hata mimi sielewi mkuu. Chadema watuambie angalau tupitishe bakuli.Nini kimetokea uzinduzi wa Kampeni za Chadema safari hii? Lile nyomi tulilolizoea la kipindi cha Lowassa liko wapi? Je, hii inaashiria nini kwenye Uchaguzi huu? Wananchi wameamua kutuma msg gani kwa Chadema? Kuna uwezekano kweli wa Chadema kupata hata Jimbo moja Dar es Salaam? Hebu tutafakari. Mimi binafsi mpenda Demokrasia nimeshtuka sana.View attachment 1550913
Hapana sio hii.Hiyo picha sio ile ya siku ya show ya harmonize pale mbagala..?
Jikite kwenye swali mkuu. Kwa uzinduzi wa leo, CHADEMA walijiandaa?Ila ujumbe mmeupata na sisi tumeupata. Picha zenu mlizopiga muda wenu nyie sisi hazituhusu. Swali: kati ya Chadema na CCM nani walijiandaa kwa uchaguzi na nani walijiandaa kwa uchafuzi?
Jikite kwenye swali mkuu. CHADEMA walijiandaa?Mburumudu kwenye Jiografia ulipata zero hiyo ni asubuhi tazama vivuli watalaam wa MAP reading tupo hapa
TBC walituma hizo picha zenye watu wachache kwa maslahi ya nani?Acheni upotishaji hivi mnapata faida gani?
Picha za saa 7 mchana ndio tbc wamezipandisha kwann wasiweke za umat i wakati wanatimuliwa?
Jibu swali mkuu.Makamanda hoi..CCM dude kubwa sana
Sure....Hata mimi niliwaona.Watamuelewa tu Lowasa na Slaa .Tundu Lisu keshaanza kupata meseji
Godbless Lema na Salum Mwalimu na Lisu nyuso zao zilikuwa unhappy Ni kitu hawakuelewana walikuwa so frustrated by reading their body language
HahahaNa ndio sababu ya kukataza drones. Ili warushe zao.. kisingizio zao zimesajiliwa.
Udhalimu upi mkuu. Naona hujajibu swali.Huyu Jiwe ataondoka duniani vibaya sana. Sio kwa udhalimu huu anaotufanyia Watanzania!
Jibu swali mkuu. Achana na hiyo picha.Acheni upotishaji hivi mnapata faida gani?
Picha za saa 7 mchana ndio tbc wamezipandisha kwann wasiweke za umat i wakati wanatimuliwa?
Huyu Jiwe ataondoka duniani vibaya sana. Sio kwa udhalimu huu anaotufanyia Watanzania!
Walijiandaa mkuu?
Hahahah....ulikuwepo mkutanoni?D
Duh!
Dar nzima imesimama.
Kuwatimua si suluhisho mkuu.Tibisi online[emoji16][emoji16][emoji16]
Akili yako haina tofauti nao.
Wanasema wanarusha live, kumbe wameandaa kijiwe cha kupiga soga za kijinga bora wametimuliwa!
Acha uoga dogo angalia kivuli cha picha utabaini picha ni ya muda ganiNdiyo propaganda TBC mliyobuni mkidhani itawasaidia CCM? TBC mnachukuwa picha kabla mkutano haujajaa halafu mnakuja kuweka kwenye internet ili watu wadhani Chadema wapinzania hawana watu? Kamuulizeni huyo kilaza wenu kwa nini anawahara sana Chadema kiasi cha kuagiza wagombea wake wakatwe
Toa suluhishoKuwatimua si suluhisho mkuu.
Kuangalia tena vivuli wakati nilikuwepo?Acha uoga dogo angalia kivuli cha picha utabaini picha ni ya muda gani
Nyumbu wanadhani hiyo Picha inaonyesha mafuriko ya wananchi.WalijiandaaView attachment 1550868
Safari hii wapo hoi, ile nguvu ya kuzungusha mikono haipo tena.CHADEMA Ni nguvu ya umma, sauti ya umma