Ukikutana na mtu mgeni usiyemjua njiani... mwanaume... akakuambia "Himo One... unajua mimi ndiye niliyelala na mama yako ndio ukazaliwa wewe? Mimi ndie babako mzazi... huyo unayeishi nae siye". Je utamwamini na kukimbia moja kwa moja kwa mama yako na kumwambia akufafanulie?Wadau;kama dakika ishirini zilizopita nilikuwa napita maeneo ya mabibo nikakuta mkutano wa cuf ambapo ndugu mtatiro anahutubia pale na kilichonifanya nimpe dakika chache kwenye ratiba yangu ni kauli yake nanukuu ""john mnyika kwa kushirikiana na wachadema wenzake waliuza jimbo la ubungo mwaka 2005 kwa ccm (keenja)kwa sababu ya njaa zao,wananchi msimchague mnyika""mwisho wa kunukuu.chadema kazi kwenu tafadhalini fafanueni hi
We can not relay on hear said.Wadau;kama dakika ishirini zilizopita nilikuwa napita maeneo ya mabibo nikakuta mkutano wa cuf ambapo ndugu mtatiro anahutubia pale na kilichonifanya nimpe dakika chache kwenye ratiba yangu ni kauli yake nanukuu ""john mnyika kwa kushirikiana na wachadema wenzake waliuza jimbo la ubungo mwaka 2005 kwa ccm (keenja)kwa sababu ya njaa zao,wananchi msimchague Mnyika""mwisho wa kunukuu.
Chadema kazi kwenu tafadhalini fafanueni hii
Wadau;kama dakika ishirini zilizopita nilikuwa napita maeneo ya mabibo nikakuta mkutano wa cuf ambapo ndugu mtatiro anahutubia pale na kilichonifanya nimpe dakika chache kwenye ratiba yangu ni kauli yake nanukuu ""john mnyika kwa kushirikiana na wachadema wenzake waliuza jimbo la ubungo mwaka 2005 kwa ccm (keenja)kwa sababu ya njaa zao,wananchi msimchague Mnyika""mwisho wa kunukuu.
Chadema kazi kwenu tafadhalini fafanueni hii
Umepozi kama mwenzetu kumbe chui kwenye ngozi ya kondoo
Join Date Mon Sep 2010Posts 4
Thanks0
Thanked 1
Time in 1 Post 0
Unamaana gani ukisema mwenzetu ??? Maana nionavyo unawafanya watu wote humu JF ni mambutwai wa Chadema ,we vipi ,salama lakini ???
Mtatiro ni moja ya product za UDSM ninayemuamini sana kwa upambanaji kwa mantiki na hoja.
Alipobugi kwenye siasa ni sehemu moja tu: Kujiunga na CUF. Huo ni mwanzo mbaya kwa Mtatiro katika safari yake ya kisiasa. CUF ni mapandikizi wa CCM. CUF ni wadini kama CCM.
CUF udini, CCM udini, CHADEMA udini, chama gani chengine chenye udini???????????
for sure we can't rely on hear say! hizo ndo siasa za CUF wanazozoweza kuchafuana tuu kwa uongo karibuni watasema na mengineyo ikiwa si mwenzetu!Wadau;kama dakika ishirini zilizopita nilikuwa napita maeneo ya mabibo nikakuta mkutano wa cuf ambapo ndugu mtatiro anahutubia pale na kilichonifanya nimpe dakika chache kwenye ratiba yangu ni kauli yake nanukuu ""john mnyika kwa kushirikiana na wachadema wenzake waliuza jimbo la ubungo mwaka 2005 kwa ccm (keenja)kwa sababu ya njaa zao,wananchi msimchague Mnyika""mwisho wa kunukuu.
Chadema kazi kwenu tafadhalini fafanueni hii
Ukikutana na mtu mgeni usiyemjua njiani... mwanaume... akakuambia "Himo One... unajua mimi ndiye niliyelala na mama yako ndio ukazaliwa wewe? Mimi ndie babako mzazi... huyo unayeishi nae siye". Je utamwamini na kukimbia moja kwa moja kwa mama yako na kumwambia akufafanulie?