CHADEMA wameishiwa sera inatakiwa wajipange

CHADEMA wameishiwa sera inatakiwa wajipange

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Kiukweli inasikitisha sana viongozi wa Chadema waliokuwa wanasubiriwa kwa hamu kubwa na wananchi wanakuja na sera za ajabu hili ni anguko kubwa na kwa sera hizi Chadema wajiandae kugombea ubunge na Udiwani tu lakini kamwe hawawezi kuchukua kiti cha uraisi wanapoteza muda.

Lakini Rais Samia Suluhu hana hiyana amefungua mikutano ya siasa waliyokua wanaililia kwa muda mrefu pia ameimarisha ulinzi na usalama sasa wanakuja nchini kwa amani kabisa lakini bahati mbaya hawana sera tena sisi watanzania tunasema tuko na Rais Samia Suluhu hadi 2030 maana kwa kipindi cha miaka 2 ameweza kuifungua nchi kila sekta hata vijana pia amewawezesha kiuchumi kupitia mikopo yenye masharti nafuu waweze kujiajiri, pia amewekeza kwenye kilimo vijana sasa wanapewa mafunzo ya kilimo pamoja na mashamba hajakomea hapo tu anahakikisha vijana wanapata elimu ya ufundi ili wapate uwezo wa kujiajiri na kuajiriwa.

Kwaiyo Lema asitudanganye kuwa wananchi wote wanatakiwa kuajiriwa na serikali nchi kama hiyo haijawai kutokea kwenye uso wa dunia hata marekani kuna watu wamejiajiri tena sisi watanzania tunabahati Rais wetu anawekeka mazingira wezeshi ya sisi vijana kujiajiri.

FqNU07vWIAMaI4S
 
Kiukweli inasikitisha sana viongozi wa Chadema waliokuwa wanasubiriwa kwa hamu kubwa na wananchi wanakuja na sera za ajabu hili ni anguko kubwa na kwa sera hizi Chadema wajiandae kugombea ubunge na Udiwani tu lakini kamwe hawawezi kuchukua kiti cha uraisi wanapoteza muda.

Lakini Rais Samia Suluhu hana hiyana amefungua mikutano ya siasa waliyokua wanaililia kwa muda mrefu pia ameimarisha ulinzi na usalama sasa wanakuja nchini kwa amani kabisa lakini bahati mbaya hawana sera tena sisi watanzania tunasema tuko na Rais Samia Suluhu hadi 2030 maana kwa kipindi cha miaka 2 ameweza kuifungua nchi kila sekta hata vijana pia amewawezesha kiuchumi kupitia mikopo yenye masharti nafuu waweze kujiajiri, pia amewekeza kwenye kilimo vijana sasa wanapewa mafunzo ya kilimo pamoja na mashamba hajakomea hapo tu anahakikisha vijana wanapata elimu ya ufundi ili wapate uwezo wa kujiajiri na kuajiriwa.

Kwaiyo Lema asitudanganye kuwa wananchi wote wanatakiwa kuajiriwa na serikali nchi kama hiyo haijawai kutokea kwenye uso wa dunia hata marekani kuna watu wamejiajiri tena sisi watanzania tunabahati Rais wetu anawekeka mazingira wezeshi ya sisi vijana kujiajiri.

FqNU07vWIAMaI4S

Ulinganifu wa CDM na mama Samia hapa umeufanya wa sera au utekelezaji wa majukumu ya serikali?
 
Kiukweli inasikitisha sana viongozi wa Chadema waliokuwa wanasubiriwa kwa hamu kubwa na wananchi wanakuja na sera za ajabu hili ni anguko kubwa na kwa sera hizi Chadema wajiandae kugombea ubunge na Udiwani tu lakini kamwe hawawezi kuchukua kiti cha uraisi wanapoteza muda.

Lakini Rais Samia Suluhu hana hiyana amefungua mikutano ya siasa waliyokua wanaililia kwa muda mrefu pia ameimarisha ulinzi na usalama sasa wanakuja nchini kwa amani kabisa lakini bahati mbaya hawana sera tena sisi watanzania tunasema tuko na Rais Samia Suluhu hadi 2030 maana kwa kipindi cha miaka 2 ameweza kuifungua nchi kila sekta hata vijana pia amewawezesha kiuchumi kupitia mikopo yenye masharti nafuu waweze kujiajiri, pia amewekeza kwenye kilimo vijana sasa wanapewa mafunzo ya kilimo pamoja na mashamba hajakomea hapo tu anahakikisha vijana wanapata elimu ya ufundi ili wapate uwezo wa kujiajiri na kuajiriwa.

Kwaiyo Lema asitudanganye kuwa wananchi wote wanatakiwa kuajiriwa na serikali nchi kama hiyo haijawai kutokea kwenye uso wa dunia hata marekani kuna watu wamejiajiri tena sisi watanzania tunabahati Rais wetu anawekeka mazingira wezeshi ya sisi vijana kujiajiri.

FqNU07vWIAMaI4S
Endeleeni kui promote Chadema

Kombora moja chawa kunguni wanatafutana.....
 
Hapa tunasubiri kuwalisha hao waliotoka Ulaya, Chadema watatuchangisha mno, hao jamaa hawana mishahara
 
Daaah , chawa kashaingiza b7 kwa Uzi wa kipimbi pimbi tu [emoji1787][emoji1787] alafu mtu kama huyu unafikiri haiombei chadema iendelee kuwepo ili aendelee kuchukua b7 zake pale Lumumba???? Jibu ni wanaiponda machoni pa mabwana zao lkn chumbani mwao wanaiombea izidi kunawili

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Jikite kwenye mambo ya msingi. Deni la Taifa kwa Sasa Ni Triliioni 76.
Umesahau Mama alisema unaposema awamu hii inakopa usisahau ni awamu ilijenga sana na kuleta maendeleo mengi hasa katika huduma za kijamii
 
Daaah , chawa kashaingiza b7 kwa Uzi wa kipimbi pimbi tu [emoji1787][emoji1787] alafu mtu kama huyu unafikiri haiombei chadema iendelee kuwepo ili aendelee kuchukua b7 zake pale Lumumba???? Jibu ni wanaiponda machoni pa mabwana zao lkn chumbani mwao wanaiombea izidi kunawili

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Unaumwa wewe
 
Hapa tunasubiri kuwalisha hao waliotoka Ulaya, Chadema watatuchangisha mno, hao jamaa hawana mishahara
Lakini kuchanga sio shida maana saizi pesa inapatikana mtaani sio kama zamani
 
Back
Top Bottom