CHADEMA wameiteka Media na habari zao ndio zinauza kwa sasa, CCM tusipokuwa wajanja hali hii itaendelea hadi Oktoba

CHADEMA wameiteka Media na habari zao ndio zinauza kwa sasa, CCM tusipokuwa wajanja hali hii itaendelea hadi Oktoba

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna ujanja fulani unafanywa na CHADEMA Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao

Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa CHADEMA Mhe. mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na CHADEMA badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano

Leo Mkutano umeisha Tundu Lissu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lissu na CHADEMA.

Baada ya hapo Tundu Lissu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze

CCM inatakiwa Kufanya kitu fulani 🐼

Ahsanteni sana.
 
Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao

Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano

Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema

Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze

CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼

Ahsanteni sana
Cdm haijaanza leo kutrend, dhalimu magu baada ya kulijua hilo ndio akadhibiti vyombo vya habari, na habari zake zikawa zinatangazwa kwa shuruti, na za cdm akahakikisha hazisikiki labda zile hasi. Hata hivyo haikufua dafu hadi ikabidi apore uchaguzi wa 2019-20.
 
Cdm haijaanza leo kutrend, dhalimu magu baada ya kulijua hilo ndio akadhibiti vyombo vya habari, na habari zake zikawa zinatangazwa kwa shuruti, na za cdm akahakikisha hazisikiki labda zile hasi. Hata hivyo haikufua dafu hadi ikabidi apore uchaguzi wa 2019-20.
CCM ifanye Kitu Fulani 😂
 
Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao

Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano

Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema

Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze

CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼

Ahsanteni sana
Wauaji wana kazi mwaka huu
 
Zaidi ya kuteka wapinzani hawana jipya, maana mvuto umekwisha toka 2010. Ccm kwa sasa ni kama mwanamke mzee anayelazimisha kuvaa nusu uchi, na kipaka black peaco ilo aonekane bado kigori.
Vuta subra 😀
 
Waache wahangaike na vyombo vya habari... Sisi kura zetu zipo tayari zinasubiri October ifike zidumbukizwe
 
𝑪𝒉𝒂𝒅𝒆𝒎𝒂 𝒘𝒐𝒕𝒆 𝒘𝒂𝒖𝒘𝒂𝒘𝒆 𝒊𝒍𝒊 𝒎𝒂𝒃𝒂𝒅𝒊𝒍𝒊𝒌𝒐 𝒚𝒂𝒔𝒊𝒐𝒏𝒆𝒌𝒂𝒏𝒆.
 
Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao

Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano

Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema

Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze

CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼

Ahsanteni sana
CHADEMA ni chaguo la Mungu. CCM ni Chama Cha Mashetani
 
Jina rangu kinemo kimetorewa kwenye nyonyo na nirikuepo nchi ikikabidhiwa, tutatumia Dora kuiba dora
 

Attachments

  • Screenshot_20250128-205949.jpg
    Screenshot_20250128-205949.jpg
    215.6 KB · Views: 5
Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao

Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano

Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema

Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze

CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼

Ahsanteni sana

Wanatakiwa Kuwa na wagombea wapya na sura mpya kwenye mifumo
 
Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao

Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano

Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema

Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze

CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼

Ahsanteni sana
1-CCM itumie polisi kuzuia mikusanyiko isiyo ya kisisiemu.
2-Iteke wana CHADEMA hata kumi na kuwasulubu ile ngumu.
3-kama kusulubiwa haitoshi,wawapeleke mbinguni hata watatu kwa SGR.
4-wakamate wanaozurula hovyo na kuwatisha kisha wawatangaze ni wanachama wapya wamehamia kutoka CHADEMA kwa kunyanyaswa na Tundu Antipas Mughwai Lissu aka Munyampaa.
Watakonga sana nyoyo za watu.
 
Back
Top Bottom