johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Cdm haijaanza leo kutrend, dhalimu magu baada ya kulijua hilo ndio akadhibiti vyombo vya habari, na habari zake zikawa zinatangazwa kwa shuruti, na za cdm akahakikisha hazisikiki labda zile hasi. Hata hivyo haikufua dafu hadi ikabidi apore uchaguzi wa 2019-20.Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani πΌ
Ahsanteni sana
CCM ifanye Kitu Fulani πCdm haijaanza leo kutrend, dhalimu magu baada ya kulijua hilo ndio akadhibiti vyombo vya habari, na habari zake zikawa zinatangazwa kwa shuruti, na za cdm akahakikisha hazisikiki labda zile hasi. Hata hivyo haikufua dafu hadi ikabidi apore uchaguzi wa 2019-20.
Wauaji wana kazi mwaka huuKuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani πΌ
Ahsanteni sana
Zaidi ya kuteka wapinzani hawana jipya, maana mvuto umekwisha toka 2010. Ccm kwa sasa ni kama mwanamke mzee anayelazimisha kuvaa nusu uchi, na kupaka black peaco ilo aonekane bado kigori.CCM ifanye Kitu Fulani π
Uongozi wa Chadema umebadilika hali itakuwa Njema πWauaji wana kazi mwaka huu
Vuta subra πZaidi ya kuteka wapinzani hawana jipya, maana mvuto umekwisha toka 2010. Ccm kwa sasa ni kama mwanamke mzee anayelazimisha kuvaa nusu uchi, na kipaka black peaco ilo aonekane bado kigori.
CCM tuna TBC na Channel tenWasira nae azunguke mikoani kujitambulisha
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
CCM ifanye Kitu Fulani π
CHADEMA ni chaguo la Mungu. CCM ni Chama Cha MashetaniKuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani πΌ
Ahsanteni sana
Channel uchwaraCCM tuna TBC na Channel ten
Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani πΌ
Ahsanteni sana
1-CCM itumie polisi kuzuia mikusanyiko isiyo ya kisisiemu.Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani πΌ
Ahsanteni sana