Imebidi nicheke tuWasira nae azunguke mikoani kujitambulisha
Mwambieni Babu Wassira asinzie kwenye kikao pale Ikulu. Yani itisheni kikao pale Ikulu then Wassira asinzie mbele ya Mama Abdul...Mta trend mwaka mzima! Mbona simple Sana? Huku kwenye active politics hamuwezi ku trend. Try on other side!Kuna ujanja fulani unafanywa na Chadema Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa Chadema Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na Chadema badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼
Ahsanteni sana
🤣🤣🤣Zaidi ya kuteka wapinzani hawana jipya, maana mvuto umekwisha toka 2010. Ccm kwa sasa ni kama mwanamke mzee anayelazimisha kuvaa nusu uchi, na kipaka black peaco ilo aonekane bado kigori.
CCM itatumia tume ya uchaguzi, wasimamizi kuchagua nani ashinde na kutangazwa. Hawahitaji media.Kuna ujanja fulani unafanywa na CHADEMA Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa CHADEMA Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na CHADEMA badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼
Ahsanteni sana
Hata Gigi Money naye ana trend kwenye media.Kuna ujanja fulani unafanywa na CHADEMA Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa CHADEMA Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na CHADEMA badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼
Ahsanteni sana
Kuna ujanja fulani unafanywa na CHADEMA Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa CHADEMA Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na CHADEMA badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani
Election not erection. Polepole, Bashiru, Jerry Slaa, Makonda, Lukuvi ni waongeaji wazuri kwenye vyombo vya habari.Tutatrendi mpaka kieleweke. No reform No Erections
Musiba Yao ipo wapi? Polepole ipo wapi?
Nimerudi na mengi kutoka kwa rafiki zetu wa MAGA.
Hilo jambo ni CCM kumuengua Mama Abduli kwwlenye kugombea uraisi. Hamjamuelewa tu huyu jamaa.Wanatakiwa Kuwa na wagombea wapya na sura mpya kwenye mifumo
Wasalimie MsogaHata Gigi Money naye ana trend kwenye media.
Mission ya CCM imefeli totally,lengo kuu ilikuwa ni kuiua CHADEMA kupitia Mbowe sasa wamefeli jumla, CHADEMA ndio habari ya mjini upende usipende.Kuna ujanja fulani unafanywa na CHADEMA Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa CHADEMA Mh mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na CHADEMA badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lisu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lisu na Chadema
Baada ya hapo Tundu Lisu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya Kitu Fulani 🐼
Ahsanteni sana
Kuna ujanja fulani unafanywa na CHADEMA Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa CHADEMA Mhe. mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na CHADEMA badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lissu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lissu na CHADEMA.
Baada ya hapo Tundu Lissu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya kitu fulani 🐼
Ahsanteni sana.
Nimeshatia Nia Bwashee 😄Mzee,Jimbo la Iringa mjini lipo wazi Kazi kwako.
Habari za CDM ndo habari uza kwa vyombo vya habari hata mkutano mkuu wa CCM na janja ya Samia kupitisha agenda kinyume na katiba ya ccm sio habari ya mjini.