Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
"No reform No elections" jambo hili hata CCM wamejukuta wanacheza ngoma ya CDM bila kujua.Tutatrendi mpaka kieleweke. No reform No Erections
Musiba Yao ipo wapi? Polepole ipo wapi?
Nimerudi na mengi kutoka kwa rafiki zetu wa MAGA.
alikosea sana kwenye kujaza nafasi ya umakamu. Wangewashindanisha wale wazee.Kuna ujanja fulani unafanywa na CHADEMA Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa CHADEMA Mhe. mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na CHADEMA badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lissu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lissu na CHADEMA.
Baada ya hapo Tundu Lissu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya kitu fulani 🐼
Ahsanteni sana.
Dhalimu magu kuamua kutumia pipe hakukosea, alijua kasi ile haiwezi.Lissu atawasumbua sana mwaka huu.!!
This is a <>Zero-Sum-Game, pamoja na kuwa hayo ni maneno matamutamu yanayoeza amsha wananchi.Hayatatufikisha ng'ambo."No reform No elections" jambo hili hata CCM wamejukuta wanacheza ngoma ya CDM bila kujua.
Wewe muda mwingine unakuwa very objective, hongera ,huo ndo ukweli waziKuna ujanja fulani unafanywa na CHADEMA Ili waendelee kutrend hata baada ya uchaguzi wao
Kwa mfano mwanzoni tu mwa Mkutano wa Nishati wa Dunia Katibu mkuu wa CHADEMA Mhe. mnyika akaitisha Press, Watu wakaanza kumjadili Mnyika na CHADEMA badala ya Kufuatilia Mjadala wa mkutano
Leo Mkutano umeisha Tundu Lissu katangaza Kesho anaripoti ofisini Sasa Mjadala utakuwa Tundu Lissu na CHADEMA.
Baada ya hapo Tundu Lissu ataanza ziara ya mikoani kujitambulisha na Media zote zitaelekea huko Ili ziuze
CCM inatakiwa Kufanya kitu fulani 🐼
Ahsanteni sana.
Hivi wewe Magufuli alikufyatua?Cdm haijaanza leo kutrend, dhalimu magu baada ya kulijua hilo ndio akadhibiti vyombo vya habari, na habari zake zikawa zinatangazwa kwa shuruti, na za cdm akahakikisha hazisikiki labda zile hasi. Hata hivyo haikufua dafu hadi ikabidi apore uchaguzi wa 2019-20.
Nimemkumbusha mleta uzi kuwa cdm ilianza muda mrefu sio sasa tu, na dhalimu magu aliujua ukweli huo akaamua kutumia ulevi wake wa madaraka kuihujumu. Rejea kichwa cha huu uzi, ni wapi kinaonyesha ni mjadala wa uchaguzi huu tu, na hakuna kutoa mfano wowote?Hivi wewe Magufuli alikufyatua?
Tunajadili uchaguzi uliokwisha mwezi huu ambayo Lissu kawa Mwenyekiti wewe umemshikiria tu Magu. Kuna tatizo kubwa kichwani mwako.
CCM hatuhitaji kuntrend kwenye mediaCCM ifanye Kitu Fulani 😂
Mobile zoo au sioWasira nae azunguke mikoani kujitambulisha
Brother tupo 2025Cdm haijaanza leo kutrend, dhalimu magu baada ya kulijua hilo ndio akadhibiti vyombo vya habari, na habari zake zikawa zinatangazwa kwa shuruti, na za cdm akahakikisha hazisikiki labda zile hasi. Hata hivyo haikufua dafu hadi ikabidi apore uchaguzi wa 2019-20.