Pre GE2025 CHADEMA wameshatoa Maoni yao kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi, yatafanyiwa kazi. Sasa kwanini wametangaza maandamano kabla hawajajibiwa?

Pre GE2025 CHADEMA wameshatoa Maoni yao kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi, yatafanyiwa kazi. Sasa kwanini wametangaza maandamano kabla hawajajibiwa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wote tunajua Miswada ya Sheria za Uchaguzi imegawiwa kwa Wadau mbalimbali ikiwemo Chadema ili Kupata maoni yao mbele ya Kamati ya Bunge.

Maoni ya Chadema yamewasilishwa mbele ya Kamati ya Bunge na Katibu mkuu mh Mnyika, yamepokelewa na yanafanyiwa KAZI pamoja na maoni ya Wadau wengine.

Majibu ya maoni na hoja mbalimbali za wabunge yatawasilishwa kwenye Vikao Vya Bunge zima mwishoni mwa mwezi huu.

Tunajiuliza, Kwanini Chadema wanaitisha maandamano Wakati wameshiriki hatua zote za uandaaji wa miswada kwa Uaminifu mkubwa?

Je, kuandamana sasa Wakati maoni yao Yako Bungeni hawavunji sheria?

Kila Mdau aliyetoa maoni akitangaza maandamano Wakati Huu hoja zao zinapofanyiwa kazi na Kamati ya Bunge nchi Hii na raia wake watabaki salama?

Chadema fanyeni Siasa za Kisasa msiwe kama Hamas!

Dominica Njema 😄
Upeo wako unaonyesha ni mdogo miswada iliyo pelekwa Bungeni ni sheria zile zile za siku zote maoni ambayo wadau waliomba nayo yajumishwe kwenye miswada hayakuwekwa na huweza ukaenda nje ya mada kama kitu hakipo kwenye mswada huna haki ya kukitolea maoni. Kwahiyo hiyo miswada ni kiini macho. Namaoni ambayo watu wanatoa hayana msaada yoyote kwasababu ndiyo hayo hayo yaliomo kwenye sheria za hivi sasa.
 
Upeo wako unaonyesha ni mdogo miswada iliyo pelekwa Bungeni ni sheria zile zile za siku zote maoni ambayo wadau waliomba nayo yajumishwe kwenye miswada hayakuwekwa na huweza ukaenda nje ya mada kama kitu hakipo kwenye mswada huna haki ya kukitolea maoni. Kwahiyo hiyo miswada ni kiini macho. Namaoni ambayo watu wanatoa hayana msaada yoyote kwasababu ndiyo hayo hayo yaliomo kwenye sheria za hivi sasa.
Na ile miswada ikipita na kuwa law itachukua muda mrefu sana kuja kubadili hiyo law.

Tulipata uhuru kutoka kwa mkoloni lakini kwa sasa tuna mkoloni mwingine mbaya zaidi
 
Na ile miswada ikipita na kuwa law itachukua muda mrefu sana kuja kubadili hiyo law.

Tulipata uhuru kutoka kwa mkoloni lakini kwa sasa tuna mkoloni mwingine mbaya zaidi
Hata hivyo naona watanzania sasa nao wameanza kuamka, serkali kukubali maandamano ni baada yakuona nguvu ya upinzani wakweli inazidi kuongezeka siku baada ya siku. Hata hao askari wanaona hoja za watanzania ni za kweli na madai yao yakizingatiwa hata wao na familia zao watafaidika. Watoto wengi wa walala hoi wanauwawa kwa kuhusishwa na panya Road. Wakati chanzo cha panya Road ni uzembe na ufisadi wa viongozi wetu. Asilimia kumi ya bajeti inayo paswa kwenda kuwakopesha vijana,, wakina mama na walemavu wanajikopesha wenyewe kisha hawalipi.
 
Back
Top Bottom