Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama kinaishi kinyumenyume(hakipendi wasomi ,Mfano,Zitto,DR slaaa,Mkumbo,) yaani kinaongozwa na wasiokuwa na uwezo wa kuandaa mikakati ni lazima wahemeke.Hili neno must go walilichukua toka kwa wale waandamaji wa Kenya na sidhani kama walikuwa wanajua maana yake.Ukiwaza na kufikiri kwa kina sana utagundua Chadema wananufaika na hawa wabunge 19.
Hili halishangazi ila kuwaacha watu wanaokula mamilioni kinyume cha sheria na kutaka kumtoa Samia kitu ambacho wanajua kabisa hawataweza ndio kinashangaza.
freakUkiwaza na kufikiri kwa kina sana utagundua Chadema wananufaika na hawa wabunge 19.
Hili halishangazi ila kuwaacha watu wanaokula mamilioni kinyume cha sheria na kutaka kumtoa Samia kitu ambacho wanajua kabisa hawataweza ndio kinashangaza.
hawako kinyume na sheria wako sawa na sheria inavyotaka wangekuwa kinyume wangekuwa wameshatolewa sheria inawabana chadema washinmdwe kuwatoa pia chadema ni legelege sana sikuhizi hawawezi kushindana na hao kna dada wako imaraUkiwaza na kufikiri kwa kina sana utagundua Chadema wananufaika na hawa wabunge 19.
Hili halishangazi ila kuwaacha watu wanaokula mamilioni kinyume cha sheria na kutaka kumtoa Samia kitu ambacho wanajua kabisa hawataweza ndio kinashangaza.
mawazo ya kijinga sana hayoMleta mada una tope kichwani.
Kumuua mama chui ni rahisi kuliko kuua watoto wa chui.
Kuwaondoa akina Mdee ni vigumu zaidi kwasabb wanalindwa na dola kwa amri ya Samia.
Kwahiyo kuwatoa akina Mdee ni lazima Samia na chama chake wawe wameondoka.