CHADEMA wameweka rekodi ambayo itawagharimu katika harakati za kutaka Madaraka ya nchii hii

CHADEMA wameweka rekodi ambayo itawagharimu katika harakati za kutaka Madaraka ya nchii hii

Bushesha jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
675
Reaction score
690
Ni Sasa CHADEMA wameshafanya makosa makubwa ambayo yatawapa taabu sana huko mbeleni historia haitawaacha Salama.

Dunia Sasa iko kwenye vita kubwa ya covid19, hili ni tukio kubwa kihistoria vizazi na vizazi watajifunza hili Janga Kama ambavyo leo historia inazungumzia WW-I na WW-II au kuhusu anguko la uchumi duniani ( Great Depression)

Ikumbukwe mtu yeyote au kikundi chochote kilichosaliti Taifa wakati wa Vita au Janga lolote historia haikuwaacha Salama watu hao na vizazi vyao.

Kwanza CHADEMA wamefanya kosa kubwa sana kutumika na IMPERIALISTS kwa kuwa watetezi wa watu hao hata Katika mazingira ambayo Serikali inafanya vizuri na watu wanaona tena kipindi hicho Taifa na Dunia ipo katika Janga Hili kubwa la corona.

Pili kukimbia bungeni (kukimbia vita) katika ya mapambano na kujaribu kumkatisha tamaa kila askari hii ni laana kubwa haitawaacha Salama.

USHAURI wangu ni vyema wakatubu vinginevyo kila watakapokuwa wanajaribu kujipanga dhambi hii ya usaliti wao kwa Taifa itakuwa inainuka kuwapa pigo.
 
Ndugu yang unaandika haya ukiwa na akili timamu?mnaharb hii nchi kumbuka hata kama ww unapata buku 7 kuna wajukuu wako watateseka

Haya maisha tunapita tyu tetea haki na sio udhalimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bushesha jr,
Chadema wamesaliti Wananchi

Wasubirie October wataiona hasira yetu

Chadema haiwezi kufa hata kama Mbowe akienda ccm hiki ni chama kilichojikita mioyoni mwa watu na ndio mbadala wa kweli wa wananchi, watu watakuja watakwenda Chadema ndio inazidi kukua na kupendwa
 
Wabunge wa Chadema wamefanya vzr kukimbilia sehemu ambazo hazina Corona!!!
 
Ndugu yang unaandika haya ukiwa na akili timamu?mnaharb hii nchi kumbuka hata kama ww unapata buku 7 kuna wajukuu wako watateseka

Haya maisha tunapita tyu tetea haki na sio udhalimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kukimbia bungeni kwa kuogopa corona wewe huoni Kama blunder?
Corona ni tukio la kihistoria vizazi vijavyo watataka kujua mapambano yalikuwaje

Mbona watumishi wa afya wanaohudumia wagonjwa hawajakimbia?

Mbona Wana usalama wako kazini bila kuogopa corona?
 
Kwahiyo kukimbia bungeni kwa kuogopa corona wewe huoni Kama blunder?
Corona ni tukio la kihistoria vizazi vijavyo watataka kujua mapambano yalikuwaje

Mbona watumishi wa afya wanaohudumia wagonjwa hawajakimbia?

Mbona Wana usalama wako kazini bila kuogopa corona?
Chadema sio wahudumu wa afya we Bashite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani aliyekimbia hii vita Ni yule aliyeamua kujificha chato, hao chadema wapo dodoma na hawaendi kwenye jengo la bunge kwa sababu wanafahamu kuna wenzao wametangulia mbele ya haki kwa kuugua korona
 
Tahira ni wale wanaotetea upuuzi na ubinafsi na usaliti kwa Taifa
 
Ni Sasa CHADEMA wameshafanya makosa makubwa ambayo yatawapa taabu sana huko mbeleni historia haitawaacha Salama.

Dunia Sasa iko kwenye vita kubwa ya covid19, hili ni tukio kubwa kihistoria vizazi na vizazi watajifunza hili Janga Kama ambavyo leo historia inazungumzia WW-I na WW-II au kuhusu anguko la uchumi duniani ( Great Depression)

Ikumbukwe mtu yeyote au kikundi chochote kilichosaliti Taifa wakati wa Vita au Janga lolote historia haikuwaacha Salama watu hao na vizazi vyao.

Kwanza CHADEMA wamefanya kosa kubwa sana kutumika na IMPERIALISTS kwa kuwa watetezi wa watu hao hata Katika mazingira ambayo Serikali inafanya vizuri na watu wanaona tena kipindi hicho Taifa na Dunia ipo katika Janga Hili kubwa la corona.

Pili kukimbia bungeni (kukimbia vita) katika ya mapambano na kujaribu kumkatisha tamaa kila askari hii ni laana kubwa haitawaacha Salama.

USHAURI wangu ni vyema wakatubu vinginevyo kila watakapokuwa wanajaribu kujipanga dhambi hii ya usaliti wao kwa Taifa itakuwa inainuka kuwapa pigo.

Hao wapuuzi unaowatetea leo hii hawatoishi milele.
 
Ndugu yang unaandika haya ukiwa na akili timamu?mnaharb hii nchi kumbuka hata kama ww unapata buku 7 kuna wajukuu wako watateseka

Haya maisha tunapita tyu tetea haki na sio udhalimu

Sent using Jamii Forums mobile app

Waambie warudishe pesa za wananchi, wao wanaona wa maana sana kuliko wananchi wanao waongoza, kama walitaka hivyo wangetangaza watu tuandike majina tunaotaka kisha watulipe pesa za kujikimu ili na sisi tukae karantini kama wao, warudishe pesa za wananchi kisha wakae kwa pesa yao halali.
 
Kwahiyo kukimbia bungeni kwa kuogopa corona wewe huoni Kama blunder?
Corona ni tukio la kihistoria vizazi vijavyo watataka kujua mapambano yalikuwaje

Mbona watumishi wa afya wanaohudumia wagonjwa hawajakimbia?

Mbona Wana usalama wako kazini bila kuogopa corona?
Wewe ni takataka kabisa. Wakati wabunge wa Chadema wanaomba wabunge wote wapimwe kuona nani ana maambukizo wewe hicho kichwa chako empty box kilikuwa wapi?
Ona sasa hawakupimwa na wabunge watatu wamedondoka na naibu spika kasema kuna walio hospitali.
Nini kilipaswa kufanywa? Ni kuwaweka karantini wabunge wote kupisha uchunguzi, bunge halijafanya kama ilivyo kanuni ya afya basi Chadema wamejiongeza wameji karamtini wenyewe taabu iko wapi?
Badala ya kuiga hatua hiyo walamba miguu mnakuja na nywe nywe nywe zenu kwa vile tuu mumlambae miguu hajafurahishwa na hatua ya Chadema huku yeye ka abandon ofisi kajificha uvunguni kule atakapo zikwa.
Wakati mwingine ficheni upumbavu wenu, au kama unakuwasha peleka kwa familia yako hadharani tumeuchoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Sasa CHADEMA wameshafanya makosa makubwa ambayo yatawapa taabu sana huko mbeleni historia haitawaacha Salama.

Dunia Sasa iko kwenye vita kubwa ya covid19, hili ni tukio kubwa kihistoria vizazi na vizazi watajifunza hili Janga Kama ambavyo leo historia inazungumzia WW-I na WW-II au kuhusu anguko la uchumi duniani ( Great Depression)

Ikumbukwe mtu yeyote au kikundi chochote kilichosaliti Taifa wakati wa Vita au Janga lolote historia haikuwaacha Salama watu hao na vizazi vyao.

Kwanza CHADEMA wamefanya kosa kubwa sana kutumika na IMPERIALISTS kwa kuwa watetezi wa watu hao hata Katika mazingira ambayo Serikali inafanya vizuri na watu wanaona tena kipindi hicho Taifa na Dunia ipo katika Janga Hili kubwa la corona.

Pili kukimbia bungeni (kukimbia vita) katika ya mapambano na kujaribu kumkatisha tamaa kila askari hii ni laana kubwa haitawaacha Salama.

USHAURI wangu ni vyema wakatubu vinginevyo kila watakapokuwa wanajaribu kujipanga dhambi hii ya usaliti wao kwa Taifa itakuwa inainuka kuwapa pigo.
Kwani Bungeni kuna vita ya nani na nani? Nasikia sana wamekimbia Vita.!

Si wamebaki hao wapiga makofi ambao wanashangilia bajeti ya Miundombinu kuwa 15% ya Bajeti yote na huku Afya na Viwanda ikiwa chini ya 2% wakati huo ndio mtaji mkuu wa maendeleo ya Viwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom