Sikilizeni, Hakuna kosa kumsaidia Mwakyembe kuhusu udhaifu wake.
Hawa ndugu ni watu wema sana kwa Dr.
Ni kweli kuwa hakuna haja ya yeye kuwa na malumbano ya mara kwa mara na akina nani sijui. Yeye ni mbunge wa sasa na anatakiwa afanye kile aliahidi kuwafanyia wana Kyela.
Kama alifanya usanii kama wa mwenyekiti wake JK kwa kuahidi hewa, atayalishe uongo mwingine mkali zaidi maana wadanganyika wewe njoo na uongo mpya kila election watakubali tu, tena hata ukiwadanganya kuwa nimeshafanya niliyoahidi hata kama ujafanya watakenua meno kidogo na kisha watakupa kura tena.
Lakini hii ya kulumbana kwenye vyombo vya habari na akina Mtanzania na Engineer ni ku expose udhaifu alio nao, na hii inaweza kuja mgharimu sana next year.