Kithuku,
Babu naona unataka kutupotosha hapa. haya maswala ya kutumikia mabwana wawili yametoka wapi haswa kwani swala la msingi hapa ni Uvujaji wa pakacha letu la madini. madini sio mali ya JK ama CCM ni mali ya taifa hivyo inamhusu kila Mtanzania bila kujali rangi yake.
Ebu tazama ile kamati iliyoundwa na Bush kuhusu 9/11,mbona hao demokratic hawakusema wanatumikia mabwana wawili?... hivi JK ni rais wa CCM na sio rais wa Tanzania ikiwemo Chadema yaani JK hana uwezo wa kuchagua ama kuingilia uchaguzi wa Chadema katika swala linalohusu maslahi ya taifa zima. Ama ulitaka Chadema wapewe nafasi ya kuchagua watu wanaowataka wao kujiunga na hii kamati.
Kifupi sielewi tunakwenda wapi kumshauri Zitto kutojiunga na kamati hii hali ni sisi wenyewe tunaopiga kelele kila siku kuhusu swala la Madini. Je, kifanyike kitu gani ikiwa Bunge lenyewe halifai.
Wapo waliopendekeza swala hili litazamwe Bungeni, jamani sio sisi tuliokosa matumaini na Bunge hilohilo?..wajumbe wengi Bungeni wamejaa CCM tena wengi wao wananuka rushwa na homa ya Kutawala, leo mnawataka wao tena walishughulikie swala hili wakati ni hao hao tu majuzi wamemtenga Zitto bungeni bila hata sheria. Chama Chadema kimeshindwa kuchukua hatua zozote kwani hawana sheria ktk nchi ya kutawaliwa..
Nani kati yenu kasimama kupinga uamuzi wa Bunge hilo kwa vitendo kuhakikisha Zitto anarudi Bungeni... hakuna na watu tunaanza kusahau kuwa Zitto sii mbunge tena ila ni mkereketwa nje ya Bunge kisha mnataka swala hili lirudishwe bungeni ambako huyo Zitto sii mjumbe.
Yawezekana kuna utata fulani ktk Uchaguzi huu lakini kwanza tufikirie vizuri zaidi tunachokitaka sisi ni kitu gani na isiwe Zitto. Tutaweza vipi kujadili swala la madini bila Upinzani kuwakilishwa?... then nani anayefaa kuwepo ikiwa sio Zitto maanake kama ni kamba za JK then kamba hii itakuwepo achaguliwe Zitto ama Dr.Slaa maanake kila mmoja wao ni mpinzani.
Ebu, tazameni kipande hiki nimekinukuu toka ktk ile kamati ya Bush kuhusu 9/11 iliyokuwaikiongozwa na Henry Kissinger..na lawama zimemrudia nani BUSH! hatusikii hata mtu akimtaja Kissinger ama kamati ile.
THREATS AND RESPONSES: THE INVESTIGATION; PRESIDENT NAMES KISSINGER TO LEAD 9/11 COMMISSION
By RICHARD W. STEVENSON
Published: November 28, 2002
President Bush today named Henry A. Kissinger, a Republican who has been one of the most respected but polarizing figures in foreign policy and Washington for more than three decades, to lead an independent investigation into the Sept. 11 terrorist attacks.
In choosing Mr. Kissinger, 79, the president selected a person whose reputation as a towering intellect in foreign policy is matched by the passions he has aroused among critics of his role in the Vietnam War, relations with the Soviet Union and the exercise of American power in Latin America.
Mr. Bush made the appointment as he signed legislation creating the commission, a step he came to support after opposing the bill for much of the year partly on the ground that it could divert attention from the war on terrorism.
Democratic leaders in Congress, who will appoint half of the 10 members of the commission, immediately named George J. Mitchell, the former Senate majority leader and peace envoy to Northern Ireland and the Middle East, as vice chairman.
The commission's mandate is to conduct a wide-ranging inquiry into the causes of the attacks, whether they could have been averted and what changes are needed to prevent a similar occurrence.
The commission is required to complete its work within 18 months -- a timetable that would have it issue its final report in the middle of a presidential election year -- though Mr. Bush said he hoped it would finish sooner. The leaders of the two parties in Congress must appoint the rest of the members by Dec. 15.
The commission will have the power to issue subpoenas by majority vote, and lawmakers have urged that it cast its net widely and interview current and former government officials, including Mr. Bush and his predecessor, Bill Clinton.
Source:-
http://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9F07E5D71538F93BA15752C1A9649C8B63