1: Mikoa ya kanda ya kati ni base ya Lissu kwa maana ni mtu wao wa nyumbani kisaikolojia ni ngumu kwa watu wa nyumbani kwako kukuacha kukuunga mkono, kanda hii inatarajiwa kuwa na wapiga kura milioni tatu.
2: Mikoa ya kanda ya kasikazini ni ngome ya chadema kwa maana kuwa ni makao makuu ya Mwenyekiti Mbowe na Chadema imejengwa kupitia kanda hii, Arusha ndio mother and father of revolution in Tanzania, Kanda hii inatarajiwa kuwa na wapiga kura kama milioni tatu na nusu.
AKILI YA LISSU NI KUBWA, HAJAHANGAIKA NA KANDA YA KASIKAZINI AKIFAHAMU KUWA ENEO HILI HALINA SHIDA HIVYO KAJARIBU KUFRUSTARATE KAMBI YA JIWE HUKO KANDA YA ZIWA, JAPO KUWA JIWE ATAONGOZA KANDA YA ZIWA BUT SIYO KWA KIWANGO KIKUBWA hivyo inampa fursa Lissu kumpiku Magufuli kwa kura za Kusini ambazo kwa kiwango kikubwa Magufuli atazikosa kwa sababu ya korosho.
Dar es Salaam ni ngoma droo,
2: Mikoa ya kanda ya kasikazini ni ngome ya chadema kwa maana kuwa ni makao makuu ya Mwenyekiti Mbowe na Chadema imejengwa kupitia kanda hii, Arusha ndio mother and father of revolution in Tanzania, Kanda hii inatarajiwa kuwa na wapiga kura kama milioni tatu na nusu.
AKILI YA LISSU NI KUBWA, HAJAHANGAIKA NA KANDA YA KASIKAZINI AKIFAHAMU KUWA ENEO HILI HALINA SHIDA HIVYO KAJARIBU KUFRUSTARATE KAMBI YA JIWE HUKO KANDA YA ZIWA, JAPO KUWA JIWE ATAONGOZA KANDA YA ZIWA BUT SIYO KWA KIWANGO KIKUBWA hivyo inampa fursa Lissu kumpiku Magufuli kwa kura za Kusini ambazo kwa kiwango kikubwa Magufuli atazikosa kwa sababu ya korosho.
Dar es Salaam ni ngoma droo,